Bandu Ncheche
JF-Expert Member
- Jul 9, 2016
- 512
- 324
Nataka kufahamu hili,bila kutumia vipimo vya kitaalam je kuna dalili zozote kwa mjamzito zinazoashiria uwepo wa mapacha?
Bila ya shaka kufahamu mtu kama amebeba twins bila ya kupitia ultrasound ni vigumu mno, licha ya kuwa wapo baadhi ya wa mama husema kuwa wanahisi wamema zaidi ya mtoto mmoja katika mafuko yao ya uzazi. Halafu kuna Uzi kama huu upo tayari unaweza kupitia kupata maoni ya wengine.Nataka kufahamu hili,bila kutumia vipimo vya kitaalam je kuna dalili zozote kwa mjamzito zinazoashiria uwepo wa mapacha?
Ni mimba ya miezi mingapi kipimo cha ultrasound kitaonyesha majibu ?Bila ya shaka kufahamu mtu kama amebeba twins bila ya kupitia ultrasound ni vigumu mno, licha ya kuwa wapo baadhi ya wa mama husema kuwa wanahisi wamema zaidi ya mtoto mmoja katika mafuko yao ya uzazi. Halafu kuna Uzi kama huu upo tayari unaweza kupitia kupata maoni ya wengine.
Ni mimba ya miezi mingapi kipimo cha ultrasound kitaonyesha majibu ?
Ok,je katika muda huo ikiwa watoto ni mapacha wanaweza kuonekana?Kuanzia week ya 5 ya ujauzito au week 3 baada utungwaji wa ujauzito
Kitume kipimo gani kingine sasa badala ya ultrasound?ultrasound zingine nadharia tu