Utajuaje amenunua simu jana?

Utajuaje amenunua simu jana?

Himidini

JF-Expert Member
Joined
May 8, 2013
Posts
5,534
Reaction score
4,190
^^
Kuna watu wakinunua simu kwa mara ya kwanza,,akapata namba yako utamjua tu!
...
Anabipu anabipuu unajua hii namba ngeni bila shaka anashida ya muhimu ukimpigia tu anakuambia 'NILITAKA KUKUSALIMIA TU'
...
Mwingine anakupigia ukimuuliza unasemaje Oo! Nilitaka kukuambia huku mvua hainyeshi
...
Loo! Utajuaje amenunua simu mpya.tupia na wewe
^^
 
Anabeeeeepiiiii ukipiga anauliza KUmBE uJaLALA bado.
 
anabipu ukimuuliza anakwambia mtumie vocha
 
Anapikupigia halafu anakwambia"nipigie basi":thumbup:
 
Anakubeep ukimpigia anakuuliza wewe nani?


^^
kuna watu wakinunua simu kwa mara ya kwanza,,akapata namba yako utamjua tu!
...
Anabipu anabipuu unajua hii namba ngeni bila shaka anashida ya muhimu ukimpigia tu anakuambia 'nilitaka kukusalimia tu'
...
Mwingine anakupigia ukimuuliza unasemaje oo! Nilitaka kukuambia huku mvua hainyeshi
...
Loo! Utajuaje amenunua simu mpya.tupia na wewe
^^
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom