Utajisikiaje ukijua umemletea mwenzio UKIMWI au Magonjwa ya zinaa hali yeye alikuwa ametulia? Kama ni mama yawezekana alikuwa ananyonyesha na mtoto alizaliwa mzima lakini baadaye kwa kuwa bado ananyonya na yeye anaathirika. Imemtokea jirani yangu ni mama alijifungua akiwa salama na mtoto alikuwa salama juzi kagundua mume amempa mimba mwanamke mwingine jirani ambaye inaesemekana ameathirika na UKIMWI. ikabidi mke akapime na mwanae ana mwaka mmja na nusu wote wamekutwa wameathirika.
naona hamjamuelewa mtoa mada.
alichosema ni kwamba mama na mtoto walikuwa salama wakati wa kujifungua. Yaani inaelekea waliathiriwa baada ya kujifungua.
someni vizuri mada mtaelewa.
alipima na alikuwa salama mpaka anajifungua ameambukizwa baada ya kujifungua. na mtoto ameambukizwa kwakuwa alikuwa ananyonya.OMG!!!! Mama huyu anaishi wapi?? Maana navyojua mimi siku hizi ukiwa mama mjamzito kupimwa ni lazima sio hiari.............na si kwamba wanafanya vibaya bali kwa upande wangu nawaunga mkono wanaepusha kuwapa taabu viumbe wasokuwa na dhambi imagine mtoto anazaliwa na HIV+ toka kwa Mama it is not fair wajameni...........PMTCT ipo kwa ajili yako Mama jamani hudhuria clinic usimpe shida mtoto mdogo wa watu imenipa uchungu sana hii kitu dah..........huwa nawaonea huruma sana watoto kama hawa jamani haaaaaaa
alipima na alikuwa salama mpaka anajifungua ameambukizwa baada ya kujifungua. na mtoto ameambukizwa kwakuwa alikuwa ananyonya.
Mtoto Mwaka mmoja na nusu, meaning mama na baba hawakuhudhuria clinic ya mama baba na mtoto. WHY?
Mama hakwenda clinic?
Hakipimwa ukimwi na VDRL?
Kwanini nimeuliza hivyo, coz angeenda clinic wangempiman na kumusnzishia dose ambayo angezaa mtoto ambaye hajawa infected. I don't care about the couple but I DO care about the baby.
Why bring the innocent child ambaye anakuja kuteseka; imagine anakuwa hadi kufikia chuo hata kupata mchumba inakuwa kazi. This is not fair kabisa!