G Game Theory Platinum Member Sep 5, 2006 8,545 835 Feb 16, 2010 #1 Nadhani huuu ni mwongozo mzuri kujua tunachozungumzia humu interesting.....
Rev. Kishoka JF-Expert Member Mar 7, 2006 4,526 1,529 Feb 16, 2010 #2 GT, Can we do the same mnyumbulisho for Tanzania using Shilingi?
Rev. Kishoka JF-Expert Member Mar 7, 2006 4,526 1,529 Feb 16, 2010 #4 Ikiwa na maana kuwa na milioni moja ya Kitanzania ni Umasikini uliokitthiri au ni Utajiri uchwara?
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member May 26, 2009 8,635 2,198 Feb 16, 2010 #5 Rev. Kishoka said: Ikiwa na maana kuwa na milioni moja ya Kitanzania ni Umasikini uliokitthiri au ni Utajiri uchwara? Click to expand... kusema kweli mie hali ya nchi yetu inanichanganya akili sana.kinachonichanganya akili ni mwisho wake je hali ya maisha itakuwaje? tuachen masiala kiwango cha hela kinachochotwa na wachache ni kingi mno kwa njia chafu. Mungu atunusuru.
Rev. Kishoka said: Ikiwa na maana kuwa na milioni moja ya Kitanzania ni Umasikini uliokitthiri au ni Utajiri uchwara? Click to expand... kusema kweli mie hali ya nchi yetu inanichanganya akili sana.kinachonichanganya akili ni mwisho wake je hali ya maisha itakuwaje? tuachen masiala kiwango cha hela kinachochotwa na wachache ni kingi mno kwa njia chafu. Mungu atunusuru.
Kang JF-Expert Member Jun 24, 2008 5,495 2,252 Feb 16, 2010 #6 lol 4 million in assets is comfortably poor? Who made this list, Bill Gates?
tgeofrey JF-Expert Member Jan 29, 2008 561 15 Feb 16, 2010 #7 mwalimu alisema punje ya mhindi inathamani kuliko gunia la noti je hiyo hekima-upendio(philo-sofia) imekaaje
mwalimu alisema punje ya mhindi inathamani kuliko gunia la noti je hiyo hekima-upendio(philo-sofia) imekaaje
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Feb 16, 2010 #8 Arsene Wenger said: kusema kweli mie hali ya nchi yetu inanichanganya akili sana.kinachonichanganya akili ni mwisho wake je hali ya maisha itakuwaje? tuachen masiala kiwango cha hela kinachochotwa na wachache ni kingi mno kwa njia chafu. Mungu atunusuru. Click to expand... Sidhani kama hali ya nchi yetu itakuja kubadilika kwa muongozo huu tulionao labda kama ulivyosema mungu atunusuru
Arsene Wenger said: kusema kweli mie hali ya nchi yetu inanichanganya akili sana.kinachonichanganya akili ni mwisho wake je hali ya maisha itakuwaje? tuachen masiala kiwango cha hela kinachochotwa na wachache ni kingi mno kwa njia chafu. Mungu atunusuru. Click to expand... Sidhani kama hali ya nchi yetu itakuja kubadilika kwa muongozo huu tulionao labda kama ulivyosema mungu atunusuru
Amoeba JF-Expert Member Aug 20, 2009 3,289 781 Feb 16, 2010 #9 Rev. Kishoka said: Ikiwa na maana kuwa na milioni moja ya Kitanzania ni Umasikini uliokitthiri au ni Utajiri uchwara? Click to expand... kutokana na mnyumbuliko huo, m1 ya bongo huko ilikofanyika hiyo stadi ni umaskini wa kutupwa
Rev. Kishoka said: Ikiwa na maana kuwa na milioni moja ya Kitanzania ni Umasikini uliokitthiri au ni Utajiri uchwara? Click to expand... kutokana na mnyumbuliko huo, m1 ya bongo huko ilikofanyika hiyo stadi ni umaskini wa kutupwa
babalao Forum Spammer Mar 11, 2006 427 58 Feb 16, 2010 #10 Mzee data zako zinaonekana ziko juu sana jee umezipata kiutoka chanzo gani? ni muhimu tukajua. CHARLES
Mzee data zako zinaonekana ziko juu sana jee umezipata kiutoka chanzo gani? ni muhimu tukajua. CHARLES
Masaki JF-Expert Member Mar 7, 2006 3,463 753 Feb 17, 2010 #11 Kwa mtazamo wangu mimi, kwa mnyumbulisho huo huo ila tuweke kwa fedha za Tanzania ili kuendana na hali halisi ya uchumi wetu.
Kwa mtazamo wangu mimi, kwa mnyumbulisho huo huo ila tuweke kwa fedha za Tanzania ili kuendana na hali halisi ya uchumi wetu.