Kwa kweli Mungu anajalia mtu yeyote mradi kujituma na kujipanga kwako haijalishi ulikuwa wapata hela ndogo sana ninachoamini mimi hata kama unalipwa hela ndogo sana na wewe ukawa una malengo mambo yako yataenda vizuri.
Hongera sana DJ Fety mtangazaji wa zamani wa Clouds FM.