Turnkey JF-Expert Member Joined Jul 9, 2013 Posts 7,358 Reaction score 5,843 Oct 28, 2021 #41 Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine
Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine
Frumence M Kyauke JF-Expert Member Joined Aug 30, 2021 Posts 630 Reaction score 1,267 Oct 28, 2021 Thread starter #42 Turnkey said: Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine Click to expand... Je ni mambo gani akifanya yatamtofautisha na wasanii wengine wa bongo flava?
Turnkey said: Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine Click to expand... Je ni mambo gani akifanya yatamtofautisha na wasanii wengine wa bongo flava?
H Hziyech22 JF-Expert Member Joined Jun 8, 2019 Posts 17,040 Reaction score 23,701 Oct 28, 2021 #43 Turnkey said: Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine Click to expand... Kwani mtoa mada kazungumzia kuhusu show au economic status ya diamond?
Turnkey said: Akafanye show ,O2 ndio atakuwa msanii mkubwa..kinyume Cha hapo Hana tofauti na Wabongo flavor wengine Click to expand... Kwani mtoa mada kazungumzia kuhusu show au economic status ya diamond?
Mtili wandu JF-Expert Member Joined Dec 15, 2012 Posts 9,293 Reaction score 12,875 Oct 28, 2021 #44 Tajiri aliyepanga nyumba ajabu
Iza JF-Expert Member Joined Jan 8, 2009 Posts 2,053 Reaction score 648 Oct 29, 2021 #45 Hivi kwanini watu wako so-obssessed na mali za huyu jamaa. Kama ni utajiri ni wake na kama hana, HANA!
Hivi kwanini watu wako so-obssessed na mali za huyu jamaa. Kama ni utajiri ni wake na kama hana, HANA!
Frumence M Kyauke JF-Expert Member Joined Aug 30, 2021 Posts 630 Reaction score 1,267 Oct 29, 2021 Thread starter #46 Myangu said: Tajiri aliyepanga nyumba ajab Click to expand... Iza said: Hivi kwanini watu wako so-obssessed na mali za huyu jamaa. Kama ni utajiri ni wake na kama hana, HANA! Click to expand... Huyu ni Celebrity,maana yake ni notable person ndio maana anajadiliwa
Myangu said: Tajiri aliyepanga nyumba ajab Click to expand... Iza said: Hivi kwanini watu wako so-obssessed na mali za huyu jamaa. Kama ni utajiri ni wake na kama hana, HANA! Click to expand... Huyu ni Celebrity,maana yake ni notable person ndio maana anajadiliwa
A Andrew123 JF-Expert Member Joined Jun 2, 2012 Posts 8,405 Reaction score 11,196 Jan 22, 2023 #47 Frumence M Kyauke said: Kwa msanii huyu amekua anaweka wazi kila hatua ya mafanikio yake, pengine anatengeneza motisha kwa wasanii chipukizi ama sababu zake binafsi Click to expand... Very true
Frumence M Kyauke said: Kwa msanii huyu amekua anaweka wazi kila hatua ya mafanikio yake, pengine anatengeneza motisha kwa wasanii chipukizi ama sababu zake binafsi Click to expand... Very true