Tema Mate
Senior Member
- Dec 19, 2013
- 107
- 193
Breaking News: Kutoka Ukumbi wa City Star Hotel, Mwigulu azidi kuongoza katika Mbio za urais 2015 kwa vijana na Lowassa Aongoza kura za jumla. Utafiti uliofanywa na Positive Thinkers Tanzania (PTT) na imedhihirishwa ni kipenzi cha wasomi, , vijana na watu wazima kwani utafiti umeonesha kuwa mh Mwigulu amepigiwa kura na wanavyuo 92, stashahada 209 na cheti 142 wakifutiwa na wananchi wenye elimu ya sekondari