Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

Utafiti: Wanawake wembamba hawadumu kwenye ndoa

Jipe moyo unachelewa we jipime ushagegedana na wangapi na mliachana kwa nn utapata jibu

sijipi moyo wala am proud of my wembamba......sidhani kama wembamba ni kigezo cha kumuacha mtu...kuna mwanaume mtaani mkewe kutwa anamsimanga cheki mwanamke unanenepea nenepeana hovyo tu yani mpaka keroooooo....unene kwangu ni keroooooio...
 
Wana jf wenzangu, kutokana na kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu, nilichokuja kugundua kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu, kingine wengi wa wanaume wanao lalamika hapa jamvini cjui mara sina hamu ya kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.

Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.


Nawasilisha

Utafiti mwingine je waliopo ndani vimbaumbau je inakuwaje kuleta tafiti zenu za kuumizana
 
Na waendelee tu kutufanyia utafiti wao usiokuwa na kichwa wala miguu.

Mimi ni mwembamba na nimeolewa sasa miaka 28 na wala sijawahi kunenepa hata siku moja, jee utafiti wako una standard variation gani statistically?

Wanaume wengine humu JF wanachekesha sana...
anaacha kumsifia mkewe binafsi anakuja kuweka standards kwa wanaume wengine...

Mimi mwenyewe namshangaa maana kama kuna mtu anayenipa moyo wa mazoezi ni mume wangu...

Sasa yeye ni nani kusema sijui nini...kwani nani anataka kutamaniwa na kila mwanamme zaidi ya mume wake...

I am what my husband needs in a woman....siwezi eti kufakamia michipsi kisa shehe sijui nani kasema ubonge nyanya dili
 
Wana jf wenzangu, kutokana na kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu, nilichokuja kugundua kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu, kingine wengi wa wanaume wanao lalamika hapa jamvini cjui mara sina hamu ya kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.

Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.


Nawasilisha

Wanawake Wembamba kweli majority hawadumu kwenye mahusiano au hata ndoa lakini si kwa sababu uliotaja Mkuu....

Kwa Uelewa wangu mdogo:-

Wanawake wembamba hawadumu kwenye mahusiano kutokana na Maumbile yao, Vimodo ndio habar ya mjini aiseee... Sijui wa kwako alikuwaje... Anything in too much is harmful... Wako alikuwa too Mwembamba..

Wanawake wa aina hii wanatongozwa sana, hii inajenga kiburi, na ka dharau, sasa this is what eventually Fail Mahusiano yao... Wanatamanisha, Easy to Carry.. Yaan ukimuwaza yuko na jamaa mwingine, Utamaindi sana Aiseeee... Mekuu!!!! Acha kabisa.

Mwishowe unaona ni Presha, unaaamua kutulia. Na Angalia most of wanawake wembamba, kwa maana ya vimodo ni Vicheche sana, ndani ya miaka miwili unakuta keshatoka na zaidi ya wanaume watatu...
 
We naye kwahiyo unataka wao wasiwe ktk ndo?
je? mbona wembamba ndo wanapendwa zaidi kuliko mabongo?
 
Wana
jf wenzangu, kutokana na
kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na
marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao
ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu, nilichokuja kugundua
kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii
kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa
hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo
lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke
mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu, kingine
wengi wa wanaume wanao lalamika hapa jamvini cjui mara sina hamu ya
kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake
wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana
uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.

Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na
utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda
wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.


Nawasilisha

wenda uko sawa kutokana na kaumbo kako ulivyo mwembamba utaoa
mwembamba? sis vimodo tuna type zetu waleee waloshiba sio nyie team
mchele mwembamba
 
wenda uko sawa kutokana na kaumbo kako ulivyo mwembamba utaoa
mwembamba? sis vimodo tuna type zetu waleee waloshiba sio nyie team
mchele mwembamba

Afu leo nimejifunza kitu...

Kumbe huko ndio kina nanii wanakoponea....
 
Na waendelee tu kutufanyia utafiti wao usiokuwa na kichwa wala miguu.

Mimi ni mwembamba na nimeolewa sasa miaka 28 na wala sijawahi kunenepa hata siku moja, jee utafiti wako una standard variation gani statistically?

Una bahati sana na usije ukaichezea au chunguza michepuko ya mumeo uone ni namna gani utapata jibu
 
Wanaume wengine humu JF wanachekesha sana...
anaacha kumsifia mkewe binafsi anakuja kuweka standards kwa wanaume wengine...

Mimi mwenyewe namshangaa maana kama kuna mtu anayenipa moyo wa mazoezi ni mume wangu...

Sasa yeye ni nani kusema sijui nini...kwani nani anataka kutamaniwa na kila mwanamme zaidi ya mume wake...

I am what my husband needs in a woman....siwezi eti kufakamia michipsi kisa shehe sijui nani kasema ubonge nyanya dili

Hizi tafiti za vijana wa kijiweni.
After all kila MTU anapenda awe vile roho inafurahia
 
Cha ajabu wachangiaji wa huu uzi asilimia tisini ni wanawake...najivunia najivunia....waacheni wanaume waseme lol😛😛😛😛😛

Wanaume gani...linakuja jitu moja na kuanza kumsifia mke wake kwa ku generalize

Wanaofaidi kwa wake zao wana muda wa kuanzisha nyuzi...

Kama ana amini anachoandika kulikuwa na haja ya kumpa advert mkewe...ili iweje...???

Anataka msaidizi?????

Sijawai ona mwanaume anajisifia kwa wenzie mkewe mtamu...afu uje kujiliza unachapiwa?

Hii ni dalili kuwa hakuna uweli kwa alichoandika...alitaka tu kuweka debate....

Imagine kila mtu aje na uzi wa kuongelea mume au mkewe...ulimbukeni at work
 
Wanawake Wembamba kweli majority hawadumu kwenye mahusiano au hata ndoa lakini si kwa sababu uliotaja Mkuu....

Kwa Uelewa wangu mdogo:-

Wanawake wembamba hawadumu kwenye mahusiano kutokana na Maumbile yao, Vimodo ndio habar ya mjini aiseee... Sijui wa kwako alikuwaje... Anything in too much is harmful... Wako alikuwa too Mwembamba..

Wanawake wa aina hii wanatongozwa sana, hii inajenga kiburi, na ka dharau, sasa this is what eventually Fail Mahusiano yao... Wanatamanisha, Easy to Carry.. Yaan ukimuwaza yuko na jamaa mwingine, Utamaindi sana Aiseeee... Mekuu!!!! Acha kabisa.

Mwishowe unaona ni Presha, unaaamua kutulia. Na Angalia most of wanawake wembamba, kwa maana ya vimodo ni Vicheche sana, ndani ya miaka miwili unakuta keshatoka na zaidi ya wanaume watatu...

Umenena mkuu
 
Wana jf wenzangu, kutokana na kautafiti ambako siyo rasmi nilikokafanya kutoka kwa ndugu, jamaa na marafiki nimekuja kugundua watu ambao wameoa wanawake wembamba wengi wao ndoa zao zimesambaratika kwa kasi ya ajabu, nilichokuja kugundua kingine hawa jamaa huwaishia hamu haraka sana wanawake wa hali hii kutokana na maumbile yao kwa sababu hata mimi binafsi kabla sijamuoa hili bonge langu la kihaya nilishawagegeda wengi wanawake wa hali hiyo lakini sikuvutiwa na hata mmoja mpaka leo hata nikipata mwanamke mwembamba nikimgegeda mara moja tu hana nafasi tena kwangu, kingine wengi wa wanaume wanao lalamika hapa jamvini cjui mara sina hamu ya kugegeda mke wangu wengi wao wana wake wembamba. Kingine wanawake wembamba wengi ambao mimi nimewapitia papuchi zinakuwa ndefu na upana uliokithiri hvyo hufanya mwanaume kuwa kinai mapema.

Take it from me; usithubutu kuoa mwanamke mwembamba itakula kwako na utakuja juta maisha yako yote hata shekhe kipozeo alishatoa ushuhuda wanawake wenye neema za allah ndo mpango mzima.


Nawasilisha

hivi mabonge tu ndo wana neema za allah???? au unasemea minyamanyama??? acha kujichanganya wewee kuna watu wembamba/mamodo hips hizoooo ---- kuleeeeeeee..anyway mi nilivo namtosha mwanaume wangu wengine hamnihusuuuu
 
Back
Top Bottom