Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
- Thread starter
- #21
Hivi tafiti ni kweli? Au ni imagination za kisayansi tu? Nimeona wakina mama wafupi wamejifungua salama, na sometimes warefu hawakufanikiwa.
ni majority Remmy lakini sio wote. Na angalia kipimo cha urefu anachoongelea hapo...urefu unaongolewa hapo ni urefu wa chini ya 150cm.
Last edited by a moderator: