peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
nafikiri ni mapema mno kutoa tafiti wakati hata kutangazwa wagombea kulikuwa bado, lets wait and see what will happen Arumeru East.
WanaJF
Gazeti la RAI linalomilikiwa na kampuni ya Habari Cooperation limeubuka na kile kinachodai ni kura ya maoni ya nani atachaguliwa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki
Katika kile wanachodai ni utafiti wao katika kata 17 ni kwamba mgombea wa CCM Siyoi Sumari anatarajiwa kupata ushindi mkubwa wa asilimia 61% huku mgombea wa CDM Joshua Nassari akitarajiwa kuambulia asilimia 38.5%. RAI wanadai Siyoi Sumari anaungwa mkono na makundi yote ya wananchi jimboni humo na pia ndiye anaonekana kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi
My take:Nadhani ufike wakati vyombo vya habari viache propaganda chafu kwa ajili ya kukatisha wananchi tamaa.Bado hatujasahau gazeti hilihili lilitoa tathmini kama hii wakati wa uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ambapo walidai katika utafiti wao mgombea wa CCM angepata ushindi wa asilimia 70%.Lakini nadhani wote tunayajua matokeo ya Igunga yalivyokuwa.Pia tafiti za kipropaganda kama hizi zimekuwa zikitumiwa na maafisa wa tume ya uchaguzi wasio waaminifu kuchakachua matokeo.
kwa hiyo unamaanisha zile kura nyingi alizopata Dr.Slaa hapa JF zilikuwa propaganda? Au ndo zile tume 'imezichakachua?'
hahahaha nimeipenda hii! Kumbe wanapodai cdm/slaa alishinda urais wanamaanisha kulingana na kura zilizokuwa zinapigwa hapa jf?
Pathetic losers!
Rai inamilikiwa na raia wa Iran ,na Mbunge wa zamani asiye raia wa Tanzania
CCM itashinda kwa kuwa wananchi wa Tanzania wanakubaliana na sera zake na mfumo wake wa kiutawala vyama vingine havieleweki watu wanaamini ni vyama kwa ajili ya viongozi kujinufahisha wao wenyewe tumeona kwa NCCR-MAGEUZI,CUF na bado tutaona kwa wengine haiwezekani chama kikawa na viongozi hao hao toka kimeanzishwa kana kwamba hamna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza ukichunguza na kufuatlia vizuri utajua kwamba hivi ni vyama vya watu fulani wao,marafiki zao na koo zao vimeanzishwa kwa masilahi ya watu binafsi na wala si kwa masilahi ya taifa sasa hivi watanzania wameshtuka wanaona bora waichague CCM kuliko upinzani,jimbo la Arumeru Mashariki CCM itashinda kwa kuwa wananchi wana imani nayo sana!
Nakubaliana na wewe kuwa siku ambayo watanzania wataichoka CCM haitaweza kushinda hata kwa kuchakachua. Kuhusu maslahi binafsi ya viongozi wa vyama na ndugu zao hili ni tatizo la vyama vyote ikiwemo CCM. Ndiyo maana amekufa mheshimiwa SOLOMON SUMARI na sasa amepitishwa SIYOI SOLOMON SUMARI kugombea nafasi hiyo.
rip cuf
Wapenzi wa CDM ni wengi, lakini wenye shahada za kupigia kura siyo wengi kama CCM.
WanaJF
Gazeti la RAI linalomilikiwa na kampuni ya Habari Cooperation limeubuka na kile kinachodai ni kura ya maoni ya nani atachaguliwa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki
Katika kile wanachodai ni utafiti wao katika kata 17 ni kwamba mgombea wa CCM Siyoi Sumari anatarajiwa kupata ushindi mkubwa wa asilimia 61% huku mgombea wa CDM Joshua Nassari akitarajiwa kuambulia asilimia 38.5%. RAI wanadai Siyoi Sumari anaungwa mkono na makundi yote ya wananchi jimboni humo na pia ndiye anaonekana kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi
My take:Nadhani ufike wakati vyombo vya habari viache propaganda chafu kwa ajili ya kukatisha wananchi tamaa.Bado hatujasahau gazeti hilihili lilitoa tathmini kama hii wakati wa uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ambapo walidai katika utafiti wao mgombea wa CCM angepata ushindi wa asilimia 70%.Lakini nadhani wote tunayajua matokeo ya Igunga yalivyokuwa.Pia tafiti za kipropaganda kama hizi zimekuwa zikitumiwa na maafisa wa tume ya uchaguzi wasio waaminifu kuchakachua matokeo.
RAI=Rost tamuWanaJF
Gazeti la RAI linalomilikiwa na kampuni ya Habari Cooperation limeubuka na kile kinachodai ni kura ya maoni ya nani atachaguliwa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki
Katika kile wanachodai ni utafiti wao katika kata 17 ni kwamba mgombea wa CCM Siyoi Sumari anatarajiwa kupata ushindi mkubwa wa asilimia 61% huku mgombea wa CDM Joshua Nassari akitarajiwa kuambulia asilimia 38.5%. RAI wanadai Siyoi Sumari anaungwa mkono na makundi yote ya wananchi jimboni humo na pia ndiye anaonekana kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi
My take:Nadhani ufike wakati vyombo vya habari viache propaganda chafu kwa ajili ya kukatisha wananchi tamaa.Bado hatujasahau gazeti hilihili lilitoa tathmini kama hii wakati wa uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ambapo walidai katika utafiti wao mgombea wa CCM angepata ushindi wa asilimia 70%.Lakini nadhani wote tunayajua matokeo ya Igunga yalivyokuwa.Pia tafiti za kipropaganda kama hizi zimekuwa zikitumiwa na maafisa wa tume ya uchaguzi wasio waaminifu kuchakachua matokeo.
hey mkuu molemo a.k.a john mrema, tunaambiwa wewe ni personal assistant wa mwenyekiti unayehusika na social issues hebu tuthibitishie tafadahali!
CCM itashinda kwa kuwa wananchi wa Tanzania wanakubaliana na sera zake na mfumo wake wa kiutawala vyama vingine havieleweki watu wanaamini ni vyama kwa ajili ya viongozi kujinufahisha wao wenyewe tumeona kwa NCCR-MAGEUZI,CUF na bado tutaona kwa wengine haiwezekani chama kikawa na viongozi hao hao toka kimeanzishwa kana kwamba hamna watu wengine wenye uwezo wa kuongoza ukichunguza na kufuatlia vizuri utajua kwamba hivi ni vyama vya watu fulani wao,marafiki zao na koo zao vimeanzishwa kwa masilahi ya watu binafsi na wala si kwa masilahi ya taifa sasa hivi watanzania wameshtuka wanaona bora waichague CCM kuliko upinzani,jimbo la Arumeru Mashariki CCM itashinda kwa kuwa wananchi wana imani nayo sana!
sioni tofauti na hawa wanaoleta thread hapa na kusema sinyari atashinda kwa 85%. what is the difference. au kwa sababu ni mkuki kwa nguruwe.WanaJF
Gazeti la RAI linalomilikiwa na kampuni ya Habari Cooperation limeubuka na kile kinachodai ni kura ya maoni ya nani atachaguliwa kuwa mbunge wa Arumeru Mashariki
Katika kile wanachodai ni utafiti wao katika kata 17 ni kwamba mgombea wa CCM Siyoi Sumari anatarajiwa kupata ushindi mkubwa wa asilimia 61% huku mgombea wa CDM Joshua Nassari akitarajiwa kuambulia asilimia 38.5%. RAI wanadai Siyoi Sumari anaungwa mkono na makundi yote ya wananchi jimboni humo na pia ndiye anaonekana kuwa kivutio kikubwa kwa wananchi
My take:Nadhani ufike wakati vyombo vya habari viache propaganda chafu kwa ajili ya kukatisha wananchi tamaa.Bado hatujasahau gazeti hilihili lilitoa tathmini kama hii wakati wa uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ambapo walidai katika utafiti wao mgombea wa CCM angepata ushindi wa asilimia 70%.Lakini nadhani wote tunayajua matokeo ya Igunga yalivyokuwa.Pia tafiti za kipropaganda kama hizi zimekuwa zikitumiwa na maafisa wa tume ya uchaguzi wasio waaminifu kuchakachua matokeo.
WanaJF
Hivi toleo la RAI wiki hii litaandika nini?