Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Kwenye blog ya Vijimambo ambayo siku zote huwa ni vipenzi wa CCM, waliweka kura ya maoni kuhusu nani awe rais wa awamu ya tano mwaka 2015. Kura hii imekuwepo tarehe 26/9/2015mpaka 27/9/2015. Matokeo hawakupenda na leo wameiweka kwenye old posts. Matokeo yako hivi:
Lowassa Ukawa kura 1,145 SAWA NA 65.43%
MAGUFULI (CCM)- KURA 575 SAWA NA 32.86%
ANNA MGWIRA (ACT) KURA 6 SAWA NA 0.34%
HASHIMU RUNGWE (CHAMMA) KURA 3 SAWA NA 0.17%
CHIEF YEMBA (ADC) KURA 6 SAWA NA 0.34%
BADO SIJAAUMUA KURA 15 SAWA NA 0.86%
Nawasilisha
Lowassa Ukawa kura 1,145 SAWA NA 65.43%
MAGUFULI (CCM)- KURA 575 SAWA NA 32.86%
ANNA MGWIRA (ACT) KURA 6 SAWA NA 0.34%
HASHIMU RUNGWE (CHAMMA) KURA 3 SAWA NA 0.17%
CHIEF YEMBA (ADC) KURA 6 SAWA NA 0.34%
BADO SIJAAUMUA KURA 15 SAWA NA 0.86%
Nawasilisha