Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,277
- 13,703
Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ambaye ni kipenzi cha wanachama anatarajia kujitosa katika mbio za kuania uwenyekiti wa CHADEMA.
Uchaguzi huo unaitishwa baada ya Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu Kusota korokoroni kwa muda mrefu hivyo kuathiri shughuli za chama kwa muda mrefu.
Duru zinaonesha Freman Mbowe ana uungwaji mkono mkubwa kwa viongozi wa kikanda pamoja na wanachama kwa ujumla kwa sababu ya kariba yake ya uvumilivu wa kisiasa na wanachama wanaamini mwaka 2030 katika mazingira yoyote Mbowe anaweza kuifufua ChADEMA ambayo kwa sasa inaelekea kufa.
Tayari uhamasishaji wa wanachama umeanza hivyo kikao cha Kamati kuu kinatarajia kukaa muda wowote kuanzia sasa kujadili ajenda ya uchaguzi. John Heche hatajwi sana kwa sababu ya hulka yake ya Uhuni na Kukurupuka kila anavyoliendea jambo lolote.
Uchaguzi huo unaitishwa baada ya Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu Kusota korokoroni kwa muda mrefu hivyo kuathiri shughuli za chama kwa muda mrefu.
Duru zinaonesha Freman Mbowe ana uungwaji mkono mkubwa kwa viongozi wa kikanda pamoja na wanachama kwa ujumla kwa sababu ya kariba yake ya uvumilivu wa kisiasa na wanachama wanaamini mwaka 2030 katika mazingira yoyote Mbowe anaweza kuifufua ChADEMA ambayo kwa sasa inaelekea kufa.
Tayari uhamasishaji wa wanachama umeanza hivyo kikao cha Kamati kuu kinatarajia kukaa muda wowote kuanzia sasa kujadili ajenda ya uchaguzi. John Heche hatajwi sana kwa sababu ya hulka yake ya Uhuni na Kukurupuka kila anavyoliendea jambo lolote.