Utafiti: Tanzania hakuna wanaume wa shoka, wanaume wako Misri, Tunisia, Libya na Kenya

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Feb 23, 2014
1,179
2,004
Wanaume wa Tanzania tuko lege lege mno, hata "kukata mti na kuuangusha" ni shida.

Kila mmoja akiona "mbwa pori" anakimbilia ndani hata barabara anaiogopa.

Wanaume wa shoka wapo Tunisia, Libya, Misri, Kenya, Gambia nk. wale jamaa wakiamua kufanya kazi wanalima hata hekari 40 kwa siku,

Kwa hali hii, najiona mwanaume niko peke yangu, nahamia Gambia ila hadi nithibitishe zaidi uanaume wao kama wanaweza.

Chanzo cha utafiti; mlevi wa konyagi Tocha Bar.
 
Wanaume wa Tanzania tuko lege lege mno, hata "kukata mti na kuuangusha" ni shida.

Kila mmoja akiona "mbwa pori" anakimbilia ndani hata barabara anaiogopa.

Wanaume wa shoka wapo Tunisia, Libya, Misri, Kenya, Gambia nk. wale jamaa wakiamua kufanya kazi wanalima hata hekari 40 kwa siku,

Kwa hali hii, najiona mwanaume niko peke yangu, nahamia Gambia ila hadi nithibitishe zaidi uanaume wao kama wanaweza.

Chanzo cha utafiti; mlevi wa konyagi Tocha Bar.
Sema UKO legelege
 
Me niko fit Sana kiakili na nguvu ninazo na pesa Nitakuwa nazo nyingi Muda sio mrefu
 
Wanaume wa Tanzania tuko lege lege mno, hata "kukata mti na kuuangusha" ni shida.

Kila mmoja akiona "mbwa pori" anakimbilia ndani hata barabara anaiogopa.

Wanaume wa shoka wapo Tunisia, Libya, Misri, Kenya, Gambia nk. wale jamaa wakiamua kufanya kazi wanalima hata hekari 40 kwa siku,

Kwa hali hii, najiona mwanaume niko peke yangu, nahamia Gambia ila hadi nithibitishe zaidi uanaume wao kama wanaweza.

Chanzo cha utafiti; mlevi wa konyagi Tocha Bar.
ad178e8207448c0de2175b8f76b74fb9.jpg
 
Wanaume wa Tanzania tuko lege lege mno, hata "kukata mti na kuuangusha" ni shida.

Kila mmoja akiona "mbwa pori" anakimbilia ndani hata barabara anaiogopa.

Wanaume wa shoka wapo Tunisia, Libya, Misri, Kenya, Gambia nk. wale jamaa wakiamua kufanya kazi wanalima hata hekari 40 kwa siku,

Kwa hali hii, najiona mwanaume niko peke yangu, nahamia Gambia ila hadi nithibitishe zaidi uanaume wao kama wanaweza.

Chanzo cha utafiti; mlevi wa konyagi Tocha Bar.
Unataka mwanaume anayeweza kufanyaje nikuletee
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom