Kwa Kifupi!,
Propaganda nyingi nimezisikia juu ya John Mnyika. Nyingi zimelenga kusawiri madhaifu yake katika masuala mbalimbali ya kijamii ambayo ameshindwa kuyatatua kama alivyoahidi katika chaguzi mbili zilizopita yaani 2005 na 2010.Mnyika amekuwa akinyooshewa vidole kwa matatizo sugu ya jiji la Dar es salaam kuliko mbunge yeyote. Hii ni kutokana na ahadi zake alizotoa. Wabunge wengine wamekuwa hawaonekani kwa kuwa hawajioneshi. Mnyika anajionesha, ni muwazi, hana desturi ya kunyamaza. Mfano halisi ni takwimu zilizoko kwenye Bunge la 10 ambapo zinaonesha Mnyika ndiye aliyechangia zaidi (mara 540).
Inasemekana anashikilia rekodi toka mfumo wa kibunge umeanzishwa.Hili lilimfanya Mnyika pamoja na kuwa Mbunge wa kitaifa lakini pia ni kama mbunge wa mkoa wa Dar es salaam.Ukienda Ukonga ama Kigamboni kuna watu wanajua mbunge wao ni John Mnyika.Katika utafiti wangu nilitumia njia mbili za kukaa sehemu, kuangalia na kusikiliza (observation), kuhoji watu wa kada mbalimbali (interview) na kuchokonoa mada ili tujadili huku mimi nikichangia kidogo. Nimetembelea wapiga kura wa ubungo na si wasafiri.
Nimetembelea maduka ya ubungo, nimetembelea wafanyakazi mbali mbali wanaofanyakazi ubungo, nimezungumza na wachungaji maarufu wenye makanisa yao ubungo(Ufufuo na uzima, Kanisa la Kakobe). Haya makanisa yana mtaji wa wapigakura zaidi ya elfu ishirini kwa mujibu wao sikwenda kwenye maknisa makongwe na misikiti kwa sababu jimbo la ubungo ni la kipekee nchini. Lina makanisa mengi ya watu binafsi kuliko universal churches and mosques. Vyuo vikuu vilivyoko Ubungo kikiwemo Chuo kikuu cha Dar es salaam, ardhi, St. Joseph na Tumaini.
Nitaeleza katika sehemu tatu kwa kifupi kwa nini Mnyika atashinda.-kazi alizofanya na ambazo hakuanya.-Turufu yake yaani mtaji alionao wa wapiga kura.-Mvuto na uwezo binafsi wa Mnyika.UTEKELEZAJIMnyika aliingia na slgan ya neno "AMUA" Akifafanua kama.A- Akili (Elimu bora) na afya boraM- Maji (Upatikanaji maji)U- Usafiri (Kupunguza adha ya usafiri)A- Ardhi (kupunguza migogoro ya ardhi.Katika suala la Elimu kupitia mfuka wa maendeleo ya jimbo, Mnyika ametoa zaidi ya madawati 1000 shule za ubungo. Kwa upande wa afya Mnyika ameendelea kuibana serikali katika mpango wa Ujenzi wa zahanati na vituo vya afya kujengwa ubungo (rejea michango yake bungeni) Parliament of Tanzania.
Kwa mujibu wa katibu wa Mnyika ndg. Azizi Himbuka jumla ya zahanati 5 zimejengwa Ubugo na zingine mbili ziko kwenye hatua za mwisho, huku mbili zikipanda hadhi kuwa vituo vya afya.MAJI.Kwa kipindi cha Januari 2011 hadi hivi sasa jumla ya miradi mitano ilibuniwa. Mitatu imekamilika kupeleka maji Chuo Kikuu Mlimani, ardhi na NIT-chuo cha usafirishaji.Hivi sasa kuna miradi 2 mikubwa itakayomaliza kabisa tatizo la maji Ubungo kutoka Mito ya Ruvu na Wami.
Mnyika anweza kuomba subira ya wananchi ili akamilishe miradi hiyo. Hata Roma haikujengwa Siku mmoja... Wana ubungo wanakumbka jinsi alivyojenga hoja juu ya upatikanaji maji Dar es Salaam... Kilio chake kimesikika.. Maji hayo yanakuja. Akiyaeleza haya kwa ufasaha bila kigugumizi Mnyika ni 100%.USAFIRIHapa Mnyika Kafanikiwa kuliko alivyoahidi. Ameondoa bughdha ya wasafiri wa mikoani na ndani ya jiji. Kukamiliaka kwa Ujenzi wa stendi ya daladala Mawasiliano-Sinza kumefanikisha kupungua kwa msongamano mkubwa wa magari stendi kuu ya ubungo. Pia amesimamia hadi kukamilika barabara za Mbezi Mwishi-Goba hadi Tangibovu. Msewe hadi Baruti na nyingine Kibao. Hivi sasa kuna ujenzi wa mradi wa mabasi ya mwendokasi.
Anasimamia.ARDHIkuhusu ardhi Mnyika amefanikiwa pia. Hivi sasa migogoro ya ardhi imepungua sana na wananchi wanaohamishwa kupisha miradi hufidiwa kwa wakati kutokana umakini wa Mwakilishi wao.Yeye binafsi amekuwa na kawaida ya kuandaa michezo kama Mnyika Cup,.... Amefanya mengi na ataendelea kuyafanya.TURUFU YAKE.Mimi si mkabila ila uchunguzi wangu umegundua kuwa jimbo la ubungo ni la makabila yote. Ukitaka kufika Dar es salaam lazma upitie Ubungo.
Ila nimegundua kati ya wenye uwezo wa kupiga kura kutokana na pilika za ubungo ni watu wenyebiashara na makazi ubungo. Hawa ni wafanyakazi, wafanyabiashara hasa wa maduka, watumishi wa serikali... Watakaopiga kura kwa uchache ni wapiga debe, wamachinga na wauza vyakula kutokana na aina za kazi zao.. Utakuta wengi hawatajiandikisha.Wenye maduka wengi kwa Ubungo ni wachaga, wapare na wakinga na si wahindi kama ilivyo kariakoo... Wachaga husingiziwa kuwa wenye Chadema, na Mnyika ni Mpare kwa asili...
Ndio maana Mnyika hana wasi wasi.Pili ushawishi wa Marafiki wa Chadema ambao ni wachungaji Gwajima na Kakobe ni mtaji mwingine. Kitu kingine kitachombeba ni UKAWA. Pia ameanikiwa kuwafikia wanavyuo.
MVUTO NA UWEZO WA KUJIELEZA.Hapa atawavutia kwa jinsi navyomfahamu wale wasiokuwemo kwenye makundi Tajwa...
Kwa makadiro Mnyika ataingia kwenye kinyang'anyiro na mtaji wa kura 75, 000.
Nawsilisha
Propaganda nyingi nimezisikia juu ya John Mnyika. Nyingi zimelenga kusawiri madhaifu yake katika masuala mbalimbali ya kijamii ambayo ameshindwa kuyatatua kama alivyoahidi katika chaguzi mbili zilizopita yaani 2005 na 2010.Mnyika amekuwa akinyooshewa vidole kwa matatizo sugu ya jiji la Dar es salaam kuliko mbunge yeyote. Hii ni kutokana na ahadi zake alizotoa. Wabunge wengine wamekuwa hawaonekani kwa kuwa hawajioneshi. Mnyika anajionesha, ni muwazi, hana desturi ya kunyamaza. Mfano halisi ni takwimu zilizoko kwenye Bunge la 10 ambapo zinaonesha Mnyika ndiye aliyechangia zaidi (mara 540).
Inasemekana anashikilia rekodi toka mfumo wa kibunge umeanzishwa.Hili lilimfanya Mnyika pamoja na kuwa Mbunge wa kitaifa lakini pia ni kama mbunge wa mkoa wa Dar es salaam.Ukienda Ukonga ama Kigamboni kuna watu wanajua mbunge wao ni John Mnyika.Katika utafiti wangu nilitumia njia mbili za kukaa sehemu, kuangalia na kusikiliza (observation), kuhoji watu wa kada mbalimbali (interview) na kuchokonoa mada ili tujadili huku mimi nikichangia kidogo. Nimetembelea wapiga kura wa ubungo na si wasafiri.
Nimetembelea maduka ya ubungo, nimetembelea wafanyakazi mbali mbali wanaofanyakazi ubungo, nimezungumza na wachungaji maarufu wenye makanisa yao ubungo(Ufufuo na uzima, Kanisa la Kakobe). Haya makanisa yana mtaji wa wapigakura zaidi ya elfu ishirini kwa mujibu wao sikwenda kwenye maknisa makongwe na misikiti kwa sababu jimbo la ubungo ni la kipekee nchini. Lina makanisa mengi ya watu binafsi kuliko universal churches and mosques. Vyuo vikuu vilivyoko Ubungo kikiwemo Chuo kikuu cha Dar es salaam, ardhi, St. Joseph na Tumaini.
Nitaeleza katika sehemu tatu kwa kifupi kwa nini Mnyika atashinda.-kazi alizofanya na ambazo hakuanya.-Turufu yake yaani mtaji alionao wa wapiga kura.-Mvuto na uwezo binafsi wa Mnyika.UTEKELEZAJIMnyika aliingia na slgan ya neno "AMUA" Akifafanua kama.A- Akili (Elimu bora) na afya boraM- Maji (Upatikanaji maji)U- Usafiri (Kupunguza adha ya usafiri)A- Ardhi (kupunguza migogoro ya ardhi.Katika suala la Elimu kupitia mfuka wa maendeleo ya jimbo, Mnyika ametoa zaidi ya madawati 1000 shule za ubungo. Kwa upande wa afya Mnyika ameendelea kuibana serikali katika mpango wa Ujenzi wa zahanati na vituo vya afya kujengwa ubungo (rejea michango yake bungeni) Parliament of Tanzania.
Kwa mujibu wa katibu wa Mnyika ndg. Azizi Himbuka jumla ya zahanati 5 zimejengwa Ubugo na zingine mbili ziko kwenye hatua za mwisho, huku mbili zikipanda hadhi kuwa vituo vya afya.MAJI.Kwa kipindi cha Januari 2011 hadi hivi sasa jumla ya miradi mitano ilibuniwa. Mitatu imekamilika kupeleka maji Chuo Kikuu Mlimani, ardhi na NIT-chuo cha usafirishaji.Hivi sasa kuna miradi 2 mikubwa itakayomaliza kabisa tatizo la maji Ubungo kutoka Mito ya Ruvu na Wami.
Mnyika anweza kuomba subira ya wananchi ili akamilishe miradi hiyo. Hata Roma haikujengwa Siku mmoja... Wana ubungo wanakumbka jinsi alivyojenga hoja juu ya upatikanaji maji Dar es Salaam... Kilio chake kimesikika.. Maji hayo yanakuja. Akiyaeleza haya kwa ufasaha bila kigugumizi Mnyika ni 100%.USAFIRIHapa Mnyika Kafanikiwa kuliko alivyoahidi. Ameondoa bughdha ya wasafiri wa mikoani na ndani ya jiji. Kukamiliaka kwa Ujenzi wa stendi ya daladala Mawasiliano-Sinza kumefanikisha kupungua kwa msongamano mkubwa wa magari stendi kuu ya ubungo. Pia amesimamia hadi kukamilika barabara za Mbezi Mwishi-Goba hadi Tangibovu. Msewe hadi Baruti na nyingine Kibao. Hivi sasa kuna ujenzi wa mradi wa mabasi ya mwendokasi.
Anasimamia.ARDHIkuhusu ardhi Mnyika amefanikiwa pia. Hivi sasa migogoro ya ardhi imepungua sana na wananchi wanaohamishwa kupisha miradi hufidiwa kwa wakati kutokana umakini wa Mwakilishi wao.Yeye binafsi amekuwa na kawaida ya kuandaa michezo kama Mnyika Cup,.... Amefanya mengi na ataendelea kuyafanya.TURUFU YAKE.Mimi si mkabila ila uchunguzi wangu umegundua kuwa jimbo la ubungo ni la makabila yote. Ukitaka kufika Dar es salaam lazma upitie Ubungo.
Ila nimegundua kati ya wenye uwezo wa kupiga kura kutokana na pilika za ubungo ni watu wenyebiashara na makazi ubungo. Hawa ni wafanyakazi, wafanyabiashara hasa wa maduka, watumishi wa serikali... Watakaopiga kura kwa uchache ni wapiga debe, wamachinga na wauza vyakula kutokana na aina za kazi zao.. Utakuta wengi hawatajiandikisha.Wenye maduka wengi kwa Ubungo ni wachaga, wapare na wakinga na si wahindi kama ilivyo kariakoo... Wachaga husingiziwa kuwa wenye Chadema, na Mnyika ni Mpare kwa asili...
Ndio maana Mnyika hana wasi wasi.Pili ushawishi wa Marafiki wa Chadema ambao ni wachungaji Gwajima na Kakobe ni mtaji mwingine. Kitu kingine kitachombeba ni UKAWA. Pia ameanikiwa kuwafikia wanavyuo.
MVUTO NA UWEZO WA KUJIELEZA.Hapa atawavutia kwa jinsi navyomfahamu wale wasiokuwemo kwenye makundi Tajwa...
Kwa makadiro Mnyika ataingia kwenye kinyang'anyiro na mtaji wa kura 75, 000.
Nawsilisha