Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Sio siri kwa staili hii ya ukawa kutokuwa na maelewano katika kusimamisha mgombea ubunge ....ccm hadi sasa wameshashinda majimbo yafuatayoo dar es salaam.
1.jimbo la ubungo.
2.jimbo la segerea
3.jimbo la kigamboni
4.jimbo la ukonga.
5.jimbo la temeke
6.jimbo la ilala.
Sio siri nawaonea sana huruma vijana wanaoishabikia ukawa wakati huku juu hali sio shwali, ..........
Chadema na cuf kusimamisha wagombea pamoja ni mtaji tosha wa ccm ushindi.
Hakika ukawa walianza kwa furaha ila watamaliza kwa huzuni katika hali hii.
5
1.jimbo la ubungo.
2.jimbo la segerea
3.jimbo la kigamboni
4.jimbo la ukonga.
5.jimbo la temeke
6.jimbo la ilala.
Sio siri nawaonea sana huruma vijana wanaoishabikia ukawa wakati huku juu hali sio shwali, ..........
Chadema na cuf kusimamisha wagombea pamoja ni mtaji tosha wa ccm ushindi.
Hakika ukawa walianza kwa furaha ila watamaliza kwa huzuni katika hali hii.
5