Huyo I phone walishampita kitambo kwenye Soko la smartphone Huawei overtakes Apple to become the world's second biggest smartphone companyWachina Shuwaini kweli yani, huyo samsung tu hawajamsogelea wanapima ubavu na Iphone?
Huawei overtakes Apple to become the world's second biggest smartphone companyMimi situmii iPhone ila iPhone ziko juu wachina wajinga tu
oopsHuu uzi umekuja kwa wakati....wanaume wengi wanaotumia iPhone hawana MARINDA
Yakwako ulinunua bei ganiSawa
Laki na nusuYakwako ulinunua bei gani
Huu uzi umekuumiza kwa kiasi ganiLaki na nusu
HahAisee hii ni ukweli kabisa, unaweza ukakuta mtu ana simu ya tochi yenye post paid voucher ya zaidi ya milioni na mwenye iphone ana vocha ya jero na amejiunga na kifurushi cha wanafunzi.
Nina tekno W4 ,mwaka wa tatu sasa haijafa...Ubora pia unachangia kama we masikini alafu ununue huawei ndo utazidi kua masikin mana umalizi mwaka imekufa mara ime stack mara imegoma kudisplay mara inachemka mara betri inaisha kama cjui nn mara utafute power bank bora upate cm bora miaka mitano unapatapa mda wa kutumia pesa yako kwenye maendeleo mana huawei kila mwezi toleo jipya utajenga kwel fatilia anaemiliki huawei mjini hapa au techno baa analilia offer ahahahahahaha jokes
Hapana bebe, mimi natumia Huawei mate Kama weweNa wewe unatumia aifoni bebe?
Sent using Huawei mate 20 Pro
Hahahaha nilisahau kama tunatumia wote za kufananaHapana bebe, mimi natumia Huawei mate Kama wewe
😂😂😂 Kwa hisani ya watu wa MarekaniHahahaha nilisahau kama tunatumia wote za kufanana
Aisee hii ni ukweli kabisa, unaweza ukakuta mtu ana simu ya tochi yenye post paid voucher ya zaidi ya milioni na mwenye iphone ana vocha ya jero na amejiunga na kifurushi cha wanafunzi.