Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Wanawake bana!!..jamaa kaja na utafiti wake kuhusu wanaume mnampinga..kisa kasema ukweli!
Kama na wanawake nao huwa wanakuwa na 'lust' ambayo ni inevitable ni issue ya kuprove tu na watu watawaelewa..
Twende mbele turudi nyuma..kuna wakati mapenzi huchuja kabisa..na ni ngumu sana kuieleza hii hali kwa jinsia nyingine..
Tukianza kujadili tatizo lazima tujue chanzo cha tatizo lenyewe pia..
Ndoa nyingi sana na kwenye mahusiano tumeshuhudia sana wanaume wakiongoza kwa kucheat..na hata maambukzi ya HIV tunaambiwa kwa kiasi kikubwa yako kwa wanandoa..Manake ni nini?..hapa kuna kitu tunakifunika tu lakini ndio ukweli wenyewe..Jinsia moja kwenye ndoa ina 'lust' ambayo ni inevitable..na kulazimishana kuamini kwamba mwanamume atadumu na mwanamke mmoja ni kujilisha upepo tu!!..
Men should be allowed to cheat but responsibly..i concur with you bro Asprin
Mkuu, yule mwanamke nayempenda sana mpk nikamtolea mahari ili nimuoe, kila siku namwona uchi na storongo haisimami mpaka istuliwe. Mtaani akikatiza binti mrembo storongo inasimama ghafla ikitaka kutimiziwa haja... Huoni hapo tayari kuna tatizo? Home kuna K ya bure unayoweza kuipata wakati wowote lakini unaiacha unaenda kutafuta ya kuihonga. Wanawake "watakatifu" wa JF hawapendi kuukubali ukweli huu ulio wazi kabisa.
Last edited by a moderator: