mm mweusi,ninahps, mwembamba ila cna cfa hzo hata1
bora mkuu una experience nadhani ni vema sana
mm mweusi,ninahps, mwembamba ila cna cfa hzo hata1
uongo mtupu
Ungetuambia tabia za waliokatwa visimi ningekubali kwani zinajulikana ila kwa hao wengine ni projo tu hakuna uhusiano wowote na uliyosema.
sasa kama unasema zinajulikana kuna haja gani ya kuzitafiti tena mkuu