hii thread imenifanya mpaka nimepima leo ,ebana kile chumba kinatisha! nikaambiwa nitoke nje kidogo ,ile kurud akanipa majibu kua niende tena baada ya miezi mi3 ,ebana eeh nimejiona kama nimezaliwa upya! na wamenipa makondom kbaaaaaoo.
hii thread imenifanya mpaka nimepima leo ,ebana kile chumba kinatisha! nikaambiwa nitoke nje kidogo ,ile kurud akanipa majibu kua niende tena baada ya miezi mi3 ,ebana eeh nimejiona kama nimezaliwa upya! na wamenipa makondom kbaaaaaoo.