Mwenendo wako mkuu ndo utakufanya uende kupima. Kucheck afya ni vema ili ujue jinsi ya kuishi. Na ukikutwa nao sio mwisho wa maisha. Ni vema ukawa muwazi kuwaambia utakuwa huruu kuishi kuliko kuficha utakuwa mtu wa mashaka. Nitakuwa muwazi kwa mupenzi wangu na kwa family yangu.