Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Fikiria kidume na mbavu zako ulikuwa na mpenzi wako siku za nyuma..mkazinguana mkaaachana kwa ngumi na matusi...kila mtu akaendelea na maisha.
Leo una maisha yako lakini bahati mbaya umepata maradhi na unahitaji tiba. unapelekwa hospitali na baada ya vipimo unaambiwa unaihitaji uapasuaji wa maeneo yako nyeti.... na unapangiwa siku.
Siku ya siku unasainishwa kitabu(pamoja na familia yako) kukubali matokeo ya upasuaji. Unaingizwa chemba tayari kwa shughuli. TAHAMAKI unagundua kuwa daktari mkuu atakaekufanyia upasuaji ndo yuleeeee XXXX wako na tayari anankudunga sindano awe nusu kaputi ....
UTAFANYAJE Mwanamume?:msela:
Leo una maisha yako lakini bahati mbaya umepata maradhi na unahitaji tiba. unapelekwa hospitali na baada ya vipimo unaambiwa unaihitaji uapasuaji wa maeneo yako nyeti.... na unapangiwa siku.
Siku ya siku unasainishwa kitabu(pamoja na familia yako) kukubali matokeo ya upasuaji. Unaingizwa chemba tayari kwa shughuli. TAHAMAKI unagundua kuwa daktari mkuu atakaekufanyia upasuaji ndo yuleeeee XXXX wako na tayari anankudunga sindano awe nusu kaputi ....
UTAFANYAJE Mwanamume?:msela: