Utafanyaje baaaaaaaaaab?

Namchukulia poa kwani nimeshalala naye usku kucha angekuwa anataka kuniua mbona ningekuwa nishatangulia kuzimu. Unajikaza kisabuni unamchukulia poa usionyeshe wasiwasi mpaka akasituka hapo ndio anaweza kukudhuru.
 
Asee, mi namfunika na blanket usoni, then nacheck ikulu kama kupo flesh kwanza nijue cha kufanya!
 
mbavu zngu jaman,duh nko geto ucku huu lisijentoa nduki humu manake mi ingenitokea hapo hapo mkojo
 
mi ntamwomba ruhusa ya kwenda uani kwa kujifanya sijaona kinachoendelea, nikitoka tu nje, nasaka usawaaaaaaaa!!!!
 
Hakuna la kufanya zaidi yakushangaa. Baada ya muda kidogo, ni kukimbilia kwenye kioo, isije ikawa na mimi nimeshabadilika kama yeye!
 
Jeuri ya mwanamme kwishaaaaaaa,nadhani ndio itakua mwisho wakutongoza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…