Utaenda na nani kati ya Hawa?

Boeing787-8

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2018
Posts
1,202
Reaction score
1,296
Kuna two candidates

Candidate A
Ana elimu ya chuo
Ameajiliwa na serikali
Sio mchangamfu
Shape kawaida
Mfupi na mweusi
Kipato kizuri
Unamkubali 50%

Candidate B
Elimu kidato Cha 4
Mdogo kiumri kuliko candidate A
Anafanya bihashara ndogondogo
Mchangamfu
Mweupe
Mrefu ana shape
Kipato kidogo sana
Unamkubali 90%

Tabia kama umalaya,kupiga mizinga wote ni constant Wana good behaviors.

Utaenda na yupi?
 
Nipe mimi huyo candidate no. 2 mweupe, wewe bakia na huyo mwajiriwa wako wa serikali. Lengo ni kukurahisishia mchakato wako.
 
Candidate B
Elimu ikisha kuwaga Kubwa Kwa Wanawake ujuaji Unakuwa mwingi (Asilimia Kubwa ya Wanawake)
 
Aisee hata chizi anajua kati ya elf 50 na elf 90 ukiabiwa uchague unachagua ipi lazima uchukue elf 90
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…