CANADA aisee.
natamani umoja wa mataifa wajenge Daraja la moja kwa moja kutoka Africa hadi kwa ukooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Canada kwa sababu kwanza hakuna ubaguzi mkubwa kati ya mweusi na mweupe, urahisi wa maishabkati ya nchi hizi tatu Canada ni rahisi, population ndogo nchi kubwa hivyo program za uhamiaji ni rafiki kuliko USA na Australia. Wacanada wana ustaarabu fulani hasa kutokana na wengi kuwa wahamiaji kutika nchi nyingi duniani ingawa inafuata majimbo, kama unaongea kifaransa nenda Quebec, kingereza Ontario nk. Huwezi kulala njaa kutokana na program za kusaidia wasiojiweza. Pia ada za shule hasa vyuo ni poa kuliko USA na Australia. Nimeishi miaka 3 pia nina mtoto raia huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
CanadaHivi ukipewa nafasi ya kuishi katika nchi moja wapo tajwa hapo juu wewe kama mtafutaji unaweza kukimbilia nchi gani?.
Na toa maelezo kwanini unaipenda nchi hiyo.
USA,Australia,Norway,Denmark is the best place to me,USA hata ukiwa na degree ya kutoka Tz na uzoefu wa kazi kidogo hawana noma,sio CanadaHivi ukipewa nafasi ya kuishi katika nchi moja wapo tajwa hapo juu wewe kama mtafutaji unaweza kukimbilia nchi gani?.
Na toa maelezo kwanini unaipenda nchi hiyo.
Canada kwa sababu kwanza hakuna ubaguzi mkubwa kati ya mweusi na mweupe, urahisi wa maishabkati ya nchi hizi tatu Canada ni rahisi, population ndogo nchi kubwa hivyo program za uhamiaji ni rafiki kuliko USA na Australia.
Wacanada wana ustaarabu fulani hasa kutokana na wengi kuwa wahamiaji kutika nchi nyingi duniani ingawa inafuata majimbo, kama unaongea kifaransa nenda Quebec, kingereza Ontario nk. Huwezi kulala njaa kutokana na program za kusaidia wasiojiweza.
Pia ada za shule hasa vyuo ni poa kuliko USA na Australia. Nimeishi miaka 3 pia nina mtoto raia huko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanaenda US wanatafuta njia ya kuingia Canada hlf ww sijui unaongea nn.... Anyway have you ever been in Canada?Misitu,
Sikubaliani na wewe Canada maisha ni expensive kuliko USA, ubaguzi upo ila unafichwa na watu wa wabaguzi ni wahamiaji kutoka Asia.
Watu wanaenda US wanatafuta njia ya kuingia Canada hlf ww sijui unaongea nn.... Anyway have you ever been in Canada?
Wewe ushakaa nchi gan kati ya hizo kiongoziSi kweli mkuu.mtu wa canada huwezi kumlingabisha na marekani,marekani hata kama ujuwi lugha una uhakika wa kufanya kazi.