Uzi mfupi tu!
Nauliza, ni nani hayupo tayari kuishi na mwenzake kati ya Muisrael na Mpalestina.
Kuna ugumu gani hizi jamii ziishi kama nchi moja ili mgogoro huu uishe. Yaani Wapalestina wawe sehemu ya nchi ya Israel kwa sababu si Wapalestina wala Waisrael wana pa kwenda kwa sasa endapo mmojawapo atataka mwenzake aondoke katika ardhi hiyo.
Wapalestina ndio wangekuwa wa kwanza kukubali kuishi na Waisrael ili vita viishe, mana hao Wasrael wataenda wapi kwa sasa na wameishakuwa wengi!
Wapalestina watumie busara kama ya Wasouth Africa kukubali kuishi na Wakaburu ndani ya nchi moja.
Nauliza, ni nani hayupo tayari kuishi na mwenzake kati ya Muisrael na Mpalestina.
Kuna ugumu gani hizi jamii ziishi kama nchi moja ili mgogoro huu uishe. Yaani Wapalestina wawe sehemu ya nchi ya Israel kwa sababu si Wapalestina wala Waisrael wana pa kwenda kwa sasa endapo mmojawapo atataka mwenzake aondoke katika ardhi hiyo.
Wapalestina ndio wangekuwa wa kwanza kukubali kuishi na Waisrael ili vita viishe, mana hao Wasrael wataenda wapi kwa sasa na wameishakuwa wengi!
Wapalestina watumie busara kama ya Wasouth Africa kukubali kuishi na Wakaburu ndani ya nchi moja.