Me nakwenda na blue
Sababu
Ata nikirudi utoto na ujuzi niliokuwa nao ,mazingira bado hayata support kuutumia, maana ujuzi nilionao unategemea watu nilionao sasa!.
Hivyo napita na 1B kiuzuri kabisa na kufanya ukamilisho wa sehemu niliokwama kisha kusonga mbele mbele yake.