Kwa kipaji changu cha kutabiri, nayaona yafuatayo kwako:
1.Umeshika simu yako ya mkononi.
2.Unasoma hii habari unatumia dole gumba.
3.Wewe ni binadamu hai kabisa.
4.Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo.
5.Nakuona umejaribu kusema neno PIPI.
7.Unajicheka mwenyewe.
8.Unaendelea kusoma ujumbe huu.
9.Unatabasamu!
10.Umeruka namba 6
11.Umerudi kucheki kama kuna namba 6.
12.Umetabasamu! UNACHEKA! 13.je umekubali kuwa mimi ni mtabili!?? Kweli Mimi NOMA,Unajiandaa kui copy
1.Umeshika simu yako ya mkononi.
2.Unasoma hii habari unatumia dole gumba.
3.Wewe ni binadamu hai kabisa.
4.Huna jeuri ya kusema neno PIPI bila kufungua mdomo.
5.Nakuona umejaribu kusema neno PIPI.
7.Unajicheka mwenyewe.
8.Unaendelea kusoma ujumbe huu.
9.Unatabasamu!
10.Umeruka namba 6
11.Umerudi kucheki kama kuna namba 6.
12.Umetabasamu! UNACHEKA! 13.je umekubali kuwa mimi ni mtabili!?? Kweli Mimi NOMA,Unajiandaa kui copy