elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,747
Wabongo kwa story za ghahawa siwawezi yani unajua kuwa syste ya makombora ya USA imeshakuwa hacked ila USA hajui?Kwanza siku moja kubwa yaani ashinde ndani masaa matatu nje ya hapo atashindwa vibaya. Makombora ya USA yanayotumia computer kusetiwa system yake ishakuwa hacked kitambo ndio maana mapanki anajitutumua hivyo kwasababu siraha za kuilipua marekani wanazimiliki wenyewe.
Amazing....