Utabiri wangu juu ya North Korea vs USA

Utabiri wangu juu ya North Korea vs USA

Kwanza inatakiwa ujue north Korea anauwezo wa kurusha kombola lake LA nyuklia na likafanikiwa kufika marekani pasipo kutunguliwa au kufanywa chochote coz hlo Bomu lipo controlled had linaposhambilia

Kitu chapili ni kwamba north Korea anayoteknolojia isiyoeleweka yaan wanaijua makomandoo wao na vile vkund vyao vya siri

Kitu cha tatu marekani akishindwa kuangamiza silaha na makombola yote yaliyopo north Korea ndani ya Sikh moja maana yake mapanki atayatumia Siku hyo hyo au siku inayofuata tens kwa kishindo kikubwa
Asante sana mkuu.....!!!!
 
Kwa sababu hajui vita anategemea nguvu za kusaidiwa
 
Mimi nashangaa sana yaani ugomvi wapigane wengine halafu uwanja wa kupigania uwe ni Japan halafu wenyewe wa Japan wanakubali tu huo ndo undina!!!!
 
Mimi nashangaa sana yaani ugomvi wapigane wengine halafu uwanja wa kupigania uwe ni Japan halafu wenyewe wa Japan wanakubali tu huo ndo undina!!!!
Aisee chief umetumia neno ambalo sijalisikia kitambo sana ndina, yaani Japan na South Korea nashindwa kuwaelewa kabisa, yaani wanafanya undina kweli
 
N kweli,kuna baadhi ya nchi na hata marekani yenyewe zitaharibika....
Lakini marekani ataipoteza kabisa north korea,sema hata kipank mwenyewe anajua atapotezwa,ubishi tu
Hakuna kitakachopotea
Coz later in the future North Korea will take over South again na watakuwa kitu kimoja kama zamani. Na ndio kitu China anataka long time that why hawezi kuruhusu hii vita itokee coz maslahi yake yataguswa. Na ndio maana kamwambia US kuwa hii vita haitaisha kesho au kutwa. Na hapo ndio uoga wa marekani maana anakumbuka vietnam ilivyomsumbua ikabidi aweke silaha chini asepe maana uchumi unashuka wavietnam hawaishi utadhani wanazaliwa leo kesho wamekuwa vijana.
So i dont think Us yuko tayari kupigana na 1.6 billion people now. Nachokiona ni kuwa US anatumia sababu kujaza misilaha yake ya kivita karibu na China kama alivyofanya kwa russia nchini Poland. So hapa anajifanya kama anampiga mkwara NK kumbe anamsogezea China bunduki usoni bila China Kujua. Coz US know that 3WW is coming. Lazima awe karibu na adui ili aweze kumdhibiti.
 
Marekani kwisha habar yake anabweka tu...mpaka sasa hajui KIDUKU kinachezwa au kinanyolewa
 
Mimi hua namuogopa sana mtu anaekaa kimya..hata ile WW2 Us alikua mpole tu ila alichokifanya huko Japan dunia ilisisimuka.
Hako mnakaita Mapanki kana majigambo sana na show off nying za nuclear..US hafanyi majigambo na Nuclear anazo..
My take: mbwembwe za mapank zisiwafanye muone kama tayar ameshinda vita.
 
Einstein huyo.....hyo kanuni alipata NAyo tabu sana coz ilikua kinadharia na haikuwah fanyiwa majaribio.....atomic bomb ndo ilikua test ya kwanza ya kanuni hyo ya Albert na aliweza kuwazba midomo wanasayansi walokua wanampinga
 
Einstein huyo.....hyo kanuni alipata NAyo tabu sana coz ilikua kinadharia na haikuwah fanyiwa majaribio.....atomic bomb ndo ilikua test ya kwanza ya kanuni hyo ya Albert na aliweza kuwazba midomo wanasayansi walokua wanampinga
Albert katuachia matatizo sana
 
Tena sana na kuna nakala ashawah andika na alikili kwamba alichofanya ni anakijutia
 
Lakini kwa upande mwngne ametusaidia sanaaaa

We si unaona saiv watu karibia kila kitu wanatumia nguvu kidg ukilnganishwa na hapo awali

Saiv power production imekua simple coz unatumia small amount of mass BT inareleas nguvu kubwa.......zaman kulikua na matumiz mabaya ya mafuta ,miti ,cool , BT Nw hvyo vyote vnatumika kwa kiwango kdgo BT vnatoa nguvu kubwa
 
Kwanza siku moja kubwa yaani ashinde ndani masaa matatu nje ya hapo atashindwa vibaya. Makombora ya USA yanayotumia computer kusetiwa system yake ishakuwa hacked kitambo ndio maana mapanki anajitutumua hivyo kwasababu siraha za kuilipua marekani wanazimiliki wenyewe.
Yaani nyie mna data kuliko CIA jidanganyeni tu, ila yatakapotokea mtuletee mlejesho.
 
Marekani kwisha habar yake anabweka tu...mpaka sasa hajui KIDUKU kinachezwa au kinanyolewa
Hicho kiduku kitanyolewa na msumeno subirini tu, nyie endeleeni kukipampu mtakimbia humu.
 
Utabiri wako umekaa kishabiki... lakin unakosa fact za kitaalam.
 
Utabiri wako umekaa kishabiki... lakin unakosa fact za kitaalam.
Hapo sijatabiri kiushabiki ingekua n ushabk bas ningesema north Korea atashinda kwa kishindo kikubwa


Mi nmechungulia ukweli wa mambo na kuwachunguza Hawa jamaa miaka 9 nyuma na nimegundua hayo niliyoyasema
 
Natabiri kua vita ipo na nitarehe 26/27 ,mwezi huu. Mkae mkao wa kula.
 
Back
Top Bottom