Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,810
- 831,023
Sheikh Yahya Hussein, aliyekuwa mmoja wa wapiga ramli maarufu sana nchini Tanzania, Ingawa kauli zake hazikuwa sehemu ya tafiti rasmi za kisayansi wala siyo maandiko ya kiroho yaliyo katika vitabu vitakatifu, ziliwahi kuvutia hisia za watu wengi hasa alipokuwa akizungumzia masuala ya kisiasa kwa mtazamo wa kiunajimu (astrology).
Kauli hiyo inayodaiwa kutolewa na Sheikh Yahya inasemekana ilitabiri kwamba:
1. Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete (2005–2015),
2. Angetokea Rais mweusi, mchapa kazi, na mcheshi sana – sifa ambazo wengi wameziunganisha na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
3. Rais huyo angebaki madarakani kwa kipindi kifupi tu, jambo ambalo lilitokea kwani Magufuli alifariki dunia akiwa bado katika muhula wake wa pili mwaka 2021.
4. Baada yake, Tanzania ingempata Rais mwanamke – na kweli, Samia Suluhu Hassan alichukua nafasi hiyo na kuwa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania.
5. Hatimaye, upinzani kuchukua nchi ..✌🏿💪🏿
Huu utabiri bado unaishi kwakuwa Sheikh Yahaya hakuweka kikomo cha muda kwamba itakuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2025
Hivyo wanaondelea kubeza wanajifariji ama hawajui kuupa muda wakati
Kauli hiyo inayodaiwa kutolewa na Sheikh Yahya inasemekana ilitabiri kwamba:
1. Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete (2005–2015),
2. Angetokea Rais mweusi, mchapa kazi, na mcheshi sana – sifa ambazo wengi wameziunganisha na aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, hayati John Pombe Magufuli.
3. Rais huyo angebaki madarakani kwa kipindi kifupi tu, jambo ambalo lilitokea kwani Magufuli alifariki dunia akiwa bado katika muhula wake wa pili mwaka 2021.
4. Baada yake, Tanzania ingempata Rais mwanamke – na kweli, Samia Suluhu Hassan alichukua nafasi hiyo na kuwa Rais wa kwanza mwanamke nchini Tanzania.
5. Hatimaye, upinzani kuchukua nchi ..✌🏿💪🏿
Huu utabiri bado unaishi kwakuwa Sheikh Yahaya hakuweka kikomo cha muda kwamba itakuwa wakati wa uchaguzi mkuu 2025
Hivyo wanaondelea kubeza wanajifariji ama hawajui kuupa muda wakati