wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Kutakuwa na adhabu nyingi mashuleni hasa za fimbo hapa na pale,kuanzia asubuhi mpaka saa sita mchana. Pia kutakuwa na ongezeko la walimu watakao sinzia hasa nyakati za mchana kutokana na stress za kutoongezwa mishahara. Inakadiliwa utoro utaongezeka kwa walimu huku ukiambatana na manung'uniko wakiwa wanatembea barabarani . Wananchi hasa wanaoishi karibu na barabara wanashauliwa kutokuchukia kama hawata salimiwa na walimu...tutaendelea baadae utabiri kwa kadri utakavyokuwa tunapata taarifa kwa wahusika ♂♂♂♂♂♂♂♂♂♂♂♂