Utabiri wa Baba Vanga: ISIS kuiangamiza Europe

Utabiri wa Baba Vanga: ISIS kuiangamiza Europe

Status
Not open for further replies.

Freedom tommorrow

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2015
Posts
1,795
Reaction score
1,132
Mtabiri kipofu wa Bulgaria ambaye alipata sifa nyingi kwa utabiri wake miaka ya nyuma ametabiri kusambaa kwa vita kubwa itayoongozwa na ISIS mwaka 2016. itakumbukwa kuwa mtabiri huyo alipata sifa nyingi pale mwaka 1955 alipotabiri dunia kukubwa na global warming ambayo imeanza kutokea. Pia alitabili 9/11 attacks ikatokea. na vile vile alitabili Tsunami kutokea 2004.

Baba Vanga alitabiri kutokea kwa vita ya tatu ya dunia miaka 2010's ambayo wafuasi wake wamesema inaweza kutokea kutokana na uwepo wa ISIS kwani pia ametabiri ISIS itapambana katika vita dhidi ya nchi za Ulaya na kuziangamiza kwa silaha za sumu.


maoni yangu: Watu wanaosoma vizuri vitabu vya imani zote za dini kuu wanawasiwasi sana na Uvamizi dhidi ya SYRIA. wanadai kuwa vita itakayosambaa kutoka hapo itakuwa ni kubwa na ngumu

https://uk.news.yahoo.com/blind-bul...l-be-destroyed-by-isis-075029871.html#dXzwcqW
 
Swali langu la kila siku, ISIS ni nani? Na afadhiliwa na nani?
 
swali langu la kila siku, isis ni nani? Na afadhiliwa na nani?

jibu linajulikana... Assad alisema wiki iliyopita kimafumbo kuwa "RUSSIA wamesaidia sana kuwavunja nguvu isis tofauti na ilivyokuwa awali , yaani wakati us wakishambulia , is ndio walikuwa wanapata nguvu za ajabu". Lakini mtabiri baba vanga amesema IS itawazidi nguvu europe... Nahisi alimaanisaha kuwazidi nguvu Russia!. Kumbuka utabiri huu ameutowa miaka mingi sana kabla ya ussr kusambaratika.
 
Namkumbuka Mchungaji Kulola(R.I.P),kuna Kipindi Wakati Wa Mahubiri Yake (nadhani Ilikuwa 2010)alidai Vita Kuu Ya Dunia Imekaribia Na Itaanzia Syria!Sikumuelewa Kipindi Kile Sasa Naanza Kunusa.
 
Waathirika wakubwa wa Isis ni Waislamu. Angalia Sirya,Iraq na Nchi nyingi za kiarabu. Waislamu washangilieni tu hawa Jamaa lkn watakaoumia ni nyie Wenyewe.
 
Liko wazi syria na vita kuu ya tatu inakwenda kuanzia,wengine wanadai tayari imeshaanza in a slow motion.
Hata pope fransis alisema vita ya tatu ya dunia iko in progress
 
Acheni maandiko yatimie,
"itatokea vita kali sana dhidi ya Waislam na Makafiri,
Haitasimama mpaka Uislam ushike dola dunia nzima,
Hapo ndio ile njaa kali itakapokuja,
Masihdajal ataibuka na kudai yeye ndio Mungu,
Atapita mtaa kwa mtaa, nchi kwa nchi,
Wale wasio na imani watamfuata makundi kwa makundi,
Wenye imani watauliwa na kuteswa sana,
Nabii Isa (a.s) atarudi,
Atapambana nae na kummaliza kabisa,
Ataoa na atakufa rasmi......"

My dears, Dunia ipo ukingoni,
Rudini kwa Mola wenu mapema,
Tufanye toba ili tufe hali ya kua ana radhi na sisi.
 
Acheni maandiko yatimie,
"itatokea vita kali sana dhidi ya Waislam na Makafiri,
Haitasimama mpaka Uislam ushike dola dunia nzima,
Hapo ndio ile njaa kali itakapokuja,
Masihdajal ataibuka na kudai yeye ndio Mungu,
Atapita mtaa kwa mtaa, nchi kwa nchi,
Wale wasio na imani watamfuata makundi kwa makundi,
Wenye imani watauliwa na kuteswa sana,
Nabii Isa (a.s) atarudi,
Atapambana nae na kummaliza kabisa,
Ataoa na atakufa rasmi......"

My dears, Dunia ipo ukingoni,
Rudini kwa Mola wenu mapema,
Tufanye toba ili tufe hali ya kua ana radhi na sisi.

.Ila najua hakuna dola itakayosimama milele... kwa utabiri wa Baba Vanga huwenda ni mwisho wa European Empire (NATO au RUSSIA)? au zote kwa pamoja
 
Dunia Ipo ukingoni kivipi?.. Mbona DOLA nyingi tu zilishapita huko nyuma?.. mpaka Afrika tulikuwa na DOLA YA MWANAMUTAPA..Ila najua hakuna dola itakayosimama milele... kwa utabiri wa Baba Vanga huwenda ni mwisho wa European Empire (NATO au RUSSIA)?

Dunia ndio kwishney,
Walipopachokoza sio,
Kama hujui ni kua mataifa yote ya kiislam yataungana kuitetea Syria,
Hapo ndio patamu sasa.

Fanya utubu mapema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom