Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Natabiri shule kufunguliwa tarehe 29 make my words
[/QUOTE
Naunga mkono hii tarehe
Ada tumesaidiana kula na watotoHakikisha ada ya watoto iko mkononi, mambo mengine waachie wenyewe huko.
Mark,makeNatabiri shule kufunguliwa tarehe 29 make my words
mtu anaona kabisa anapakwa mafuta makalioni halafu anatabiri anataka kupumuliwa. utabiri gani huoBongo kila mtu mtabiri.
Tungoje kesho wakati analivunja Bunge kwamba atasema nini.Habari wakuu
Kulingana na mwenendo mzuri wa janga la corona nchini kwetu natabiri katika hotuba ijayo ya mh Rais wetu ataelekeza Kufunguliwa kwa shule za msingi na Secondari kuanzia mwezi Julai.
Ndimi Mwanafunzi wa Mshana Jr
Hahahahahahaaaa.Usitake ujiko kirahisi.
Tabiri mwaka 2037 mwezi Fulani kitatokea hiki na hiki na kitatokea kweli uwo ndio utabiri.
Kilamtu anajua 90℅ shule zitafunguliwa mwezi ujao uje uwite unatabiri.
hatukufungaTrainee wa kilinge cha Mshana Jr, hakuna kupiga manyanga wala ramli wala utabiri hapo, wengi tunaamini baada ya form 6 kumaliza, guinea pigs, wa changamoto za upumuaji, kuna uwezekano wengine wote wakarudi kuanzia July 15.
Nje ya mada nyie hamkufunga shule kilingeni??
Everyday is Saturday...........................
Jf kuna mambo jamani 😂😂😂👊👊😂👌mtu anaona kabisa anapakwa mafuta makalioni halafu anatabiri anataka kupumuliwa. utabiri gani huo
We sare ya ruvu imekuchanganyamtu anaona kabisa anapakwa mafuta makalioni halafu anatabiri anataka kupumuliwa. utabiri gani huo
Ila kaongea fact ahahahahhahahahWe sare ya ruvu imekuchanganya