Utabiri Sept. 1

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Feb 18, 2013
8,130
8,348
KAma picha inavyojieleza...
1470547238383.jpg
 
Hadi septemba 1 serikali itakua imeufyata. Mbona walizuia mikutano na makongamano lakini Bavicha wakatishia watazuia mkutano wa Dodoma,kabla ya mkutano wakajitokeza wenyewe na kujikanyaga kuwa awakuzuia.
Hii serikali ya mwendokasi ni waoga sana
 
Mzee kaomba mumpe muda kidogo ainyooshe nchi nyie hamtaki subirieni kichapo heavy siku ya ukuta
 
Hadi septemba 1 serikali itakua imeufyata. Mbona walizuia mikutano na makongamano lakini Bavicha wakatishia watazuia mkutano wa Dodoma,kabla ya mkutano wakajitokeza wenyewe na kujikanyaga kuwa awakuzuia.
Hii serikali ya mwendokasi ni waoga sana
Nyie endeleeni kuzungusha mikono
 
Mi ntahakikisha nimenunua pop corn za kutosha na tayar kwa mtanange...
 
Hivi Hamna namna ambayo hawa wanaotaka kuweka ukuta wakaachwa wauweke mrad wafanye mambo yao Kwa Amani.nahofia sana iwapo watu watavunjwa viuno na miguu nan atafanya KAZ katika tz ya viwanda..je tumeshaandaa jela mpya maana zilizopo hazitoshi zimejaa.wanasiasa mkae chin mzungumze kama MNA uchungu na nchi hii kuliko kutaka kupimana ubavu hiyo trh moja ifikirieni kwanza tZ wafikirieni vijana ambao asilimia kubwa wanategemewa na familia zao wakiumia itakuwaje,pia polisi wana mengi ya kufanya je mnataka trh moja muwaongezee majukumu yanayoepukika.Njee tutachukuliwaje nchi ambayo haikumwaga damu kupata Uhuru wake lakin trh moja mnataka tuchafue historia Yetu.tupo kwenye kubana matumiz ili tupige hatua kiuchum je nan anaweza niambia nchi nzima kuizima opareshen ukuta piga hesabu ya magar,mawasiliano,chakula,mabomu ya machoz nchi itatumia sh ngap?
MWISHO nawaombeni kabla ya trh moja tunaZo siku nying hapo kati upinzan na serikali kaeni chini mjadiliane muafikiane tupo watz wapenda Amani tusokuwa na chama wafuasi Wa tz mnatufikiriaje.muda Wa kupimana nguvu ulishapita nadhani Kwa umoja wetu watz tutumie nguvu hizo kujiletea maendeleo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU WABARIKI VIONGOZI WETU
 
U
Hivi Hamna namna ambayo hawa wanaotaka kuweka ukuta wakaachwa wauweke mrad wafanye mambo yao Kwa Amani.nahofia sana iwapo watu watavunjwa viuno na miguu nan atafanya KAZ katika tz ya viwanda..je tumeshaandaa jela mpya maana zilizopo hazitoshi zimejaa.wanasiasa mkae chin mzungumze kama MNA uchungu na nchi hii kuliko kutaka kupimana ubavu hiyo trh moja ifikirieni kwanza tZ wafikirieni vijana ambao asilimia kubwa wanategemewa na familia zao wakiumia itakuwaje,pia polisi wana mengi ya kufanya je mnataka trh moja muwaongezee majukumu yanayoepukika.Njee tutachukuliwaje nchi ambayo haikumwaga damu kupata Uhuru wake lakin trh moja mnataka tuchafue historia Yetu.tupo kwenye kubana matumiz ili tupige hatua kiuchum je nan anaweza niambia nchi nzima kuizima opareshen ukuta piga hesabu ya magar,mawasiliano,chakula,mabomu ya machoz nchi itatumia sh ngap?
MWISHO nawaombeni kabla ya trh moja tunaZo siku nying hapo kati upinzan na serikali kaeni chini mjadiliane muafikiane tupo watz wapenda Amani tusokuwa na chama wafuasi Wa tz mnatufikiriaje.muda Wa kupimana nguvu ulishapita nadhani Kwa umoja wetu watz tutumie nguvu hizo kujiletea maendeleo.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU WABARIKI VIONGOZI WETU
umeandika vizuri..cha msingi hyo siku usikae mbali na tv yako
 
Back
Top Bottom