Hivi Watanzania mmelogwa na mchawi gani? Yaan EL ni mtu wa kufikiria kuongoza Tanzania wakati kila siku mnalia umeme umeme, maisha magumu maisha magumu, nani katufikisha hapa kama si EL? Bila umeme maendeleo yatakujaje, bila viwanda kuzalisha kwa kutumia uchumi utakuaje, ajira itakujaje kwa vijana? EL Richmond ndio wametufikisha hapa, ok ana hisa za kwenye Vodacom, vodacom hawalipi kile wanavuna kuchangia pato la taifa je akiwa Rais si aiatkuwa na hisa kila kampuni?
EL ni mwizi, mroho wa mali, anakula bila kunawa, yuko radhi kuuza nchi mradi itampa pesa. Ni mtu haridhiki, amekuwa Waziri wa Ardhi akakomba ardhi yote amejenga majumba kila mji, akawa waziri ofisi ya Rais inayoshughulikia maafa akala misaada yote, watu wa kusini wanajua ilo, amakuwa waziri mkuu Richmond, Vodacom, nani hasiyemjua wakati akiwa mkurugezi mkuu wa AICC alivyokuwa hana kitu anatembelea kibito (Vokswagen) leo EL mnamonaje, kapata wapi pesa. Leo anamwaga mapesa makanisani na misikitini anapata wapi nguvu hiyo kama hajawaibia Watanzania.
Swali lingine Watanzania mmelogwa na nani kufikiria bado CCM inaweza kukutawala tena. Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru tunatambaa bado? Yote nani hasiyejua kwamba CCM imetufikisha hapo? Amka jamani Watanzania tuache ukondoo wa mawazo, tutoke kwenye ulevi wa kufikiri CCM na bila CCM hatufiki. Tufike wakati tuseme basiii. CDM imekuja na ipo na mnaona inafanya nini lakini bado watu wanota kasumba ya CCM. angalia wabunge wenu wa CCM ni rudo lakini wanafanya nini? Angalia wabunge wa CDM ni wangapi lakini wanafanya nini? Ni wakati wa kuamka jamani nawasii hata kama kurongwa kwenu hakuna mganga lakini basi jitambue wenyewe. nani hasiyependa maendeleo ya jumla kwa watoto wetu wa baadae, kwa dada, shangazi, bini babu zetu uko vijijini.
AMKENI USINGIZI
EL ni mwizi, mroho wa mali, anakula bila kunawa, yuko radhi kuuza nchi mradi itampa pesa. Ni mtu haridhiki, amekuwa Waziri wa Ardhi akakomba ardhi yote amejenga majumba kila mji, akawa waziri ofisi ya Rais inayoshughulikia maafa akala misaada yote, watu wa kusini wanajua ilo, amakuwa waziri mkuu Richmond, Vodacom, nani hasiyemjua wakati akiwa mkurugezi mkuu wa AICC alivyokuwa hana kitu anatembelea kibito (Vokswagen) leo EL mnamonaje, kapata wapi pesa. Leo anamwaga mapesa makanisani na misikitini anapata wapi nguvu hiyo kama hajawaibia Watanzania.
Swali lingine Watanzania mmelogwa na nani kufikiria bado CCM inaweza kukutawala tena. Miaka zaidi ya 50 baada ya uhuru tunatambaa bado? Yote nani hasiyejua kwamba CCM imetufikisha hapo? Amka jamani Watanzania tuache ukondoo wa mawazo, tutoke kwenye ulevi wa kufikiri CCM na bila CCM hatufiki. Tufike wakati tuseme basiii. CDM imekuja na ipo na mnaona inafanya nini lakini bado watu wanota kasumba ya CCM. angalia wabunge wenu wa CCM ni rudo lakini wanafanya nini? Angalia wabunge wa CDM ni wangapi lakini wanafanya nini? Ni wakati wa kuamka jamani nawasii hata kama kurongwa kwenu hakuna mganga lakini basi jitambue wenyewe. nani hasiyependa maendeleo ya jumla kwa watoto wetu wa baadae, kwa dada, shangazi, bini babu zetu uko vijijini.
AMKENI USINGIZI