chama gani maarufu cha siasa hapa nchini....?nadhani wote mnakijua....lakin toka niko mdogo naonaga kuna vyama vinakuja vinakuwaga na nguvu lakini vinashindwa kufikia adhima zao...mfano..hapo awali...kulikuwaga na NCCR Mageuzi,ilikuwa na nguvu ikatoweka, ikaja TLP ilikuwa na nguvu pia ikatoweka, ikaja CUF ilikuwa na nguvu ikatoweka, na sasa ni CHADEMA ina nguvu je nayo itatoweka...mimi nawewe hatujui...
Mtabiri maarufu Tanzania Maalim Hassan Y. Hussein na ambaye pia ni mtoto wa alokuwa mtabiri wa Tanzania na Afrika Mashariki the late Sheikh Yahya Hussein ametabiri mambo mengi na matukio mengi yanayotarajiwa katika mwaka huu 2017 ....
Miingoni mwa hayo ni .....
"Viongozi wakubwa wa vyama vya upinzani duniani ikiwamo Tanzania watarejea kwenye vyama walivyovihama" ...... " .... sambamba na kifo cha chama kimoja maarufu cha siasa hapa nchini" Alisema Maalim Hassan Y. Hussein ....
Na: Frank Monyo - Nipashe
Mtabiri maarufu Tanzania Maalim Hassan Y. Hussein na ambaye pia ni mtoto wa alokuwa mtabiri wa Tanzania na Afrika Mashariki the late Sheikh Yahya Hussein ametabiri mambo mengi na matukio mengi yanayotarajiwa katika mwaka huu 2017 ....
Miingoni mwa hayo ni .....
"Viongozi wakubwa wa vyama vya upinzani duniani ikiwamo Tanzania watarejea kwenye vyama walivyovihama" ...... " .... sambamba na kifo cha chama kimoja maarufu cha siasa hapa nchini" Alisema Maalim Hassan Y. Hussein ....
Na: Frank Monyo - Nipashe
Akitabili TB Joshua Lowasa atakuwa Rais mnajadili mbona?Mnataka kuiharibu Jf. Yaani tukae tujadili mawazo ya wapiga ramli? Hata kama utabiri aliotoa unanufaisha upande wangu siwezi kushiriki kuunga mkono maoni ya muotaji.
huyu na TB Joshua na Lusekelo, kakobe, nawashangaa sana.Kuna watu wanakesha humu wakikosoa ndoto za Lema na ukiwasikiliza wana hoja za msingi, lkn leo wako mbele kushadadia ndoto za huyu mpiga tumba.
hahahaaaaMbona alishindwa kutabiri kifo cha baba yake marehemu Sheikh Yahya Hussein??
Awe Joshua, awe Hussein awe nani!! Wote Wa aina hiyo hawawezi kuwa chanzo cha mjadala kwa GT's.Akitabili TB Joshua Lowasa atakuwa Rais mnajadili mbona?
itakuwa China hiyo...umesahau na 1 kasema kuwa mwaka huu mtukufu atapokea tuzo ya uwajibikaji mzuri kutoka taifa 1 kubwa duniani hajalisema ni nchi gani