kichaamuerevu Member Joined Jun 28, 2013 Posts 24 Reaction score 3 Jul 1, 2013 #1 Unaamka Asubuhi unakutana na miss call.7..1ANAYEKUDAI.2 UNAYEMDAI 3.MPENZI WAKO 4.MAMA YAKO 5.BABA YAKO 6.BOSI WAKO 7.RAFIKI YAKO KIPENZI.Ni nani utaanza kumpigia cm hebu nipe jibu nijifunze kutoka kwako usiache kunijibu
Unaamka Asubuhi unakutana na miss call.7..1ANAYEKUDAI.2 UNAYEMDAI 3.MPENZI WAKO 4.MAMA YAKO 5.BABA YAKO 6.BOSI WAKO 7.RAFIKI YAKO KIPENZI.Ni nani utaanza kumpigia cm hebu nipe jibu nijifunze kutoka kwako usiache kunijibu
Negrodemus JF-Expert Member Joined Dec 30, 2010 Posts 2,318 Reaction score 688 Jul 1, 2013 #2 aliyepiga simu
Binti Magufuli JF-Expert Member Joined Apr 2, 2011 Posts 7,479 Reaction score 5,160 Jul 2, 2013 #4 Kisiori ntasema mama ila kiuhalisia ni mpenzi
Bishanga JF-Expert Member Joined Jun 29, 2008 Posts 15,321 Reaction score 10,077 Jul 2, 2013 #5 Kichaa......mwerevu.......mmmmmhhhhh hiyo ID......
Lady doctor JF-Expert Member Joined Apr 13, 2013 Posts 8,756 Reaction score 7,005 Jul 2, 2013 #6 Na ninae mdai
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,355 Reaction score 108,486 Jul 2, 2013 #7 Kwa kuwa mimi ni Mpare hizo 1 & 2 hazinihusu kabisaaaaa!!!
Lucas JF-Expert Member Joined Dec 3, 2011 Posts 2,457 Reaction score 1,110 Jul 2, 2013 #8 circumstances will tell
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Jul 2, 2013 #9 watu8 said: Kwa kuwa mimi ni Mpare hizo 1 & 2 hazinihusu kabisaaaaa!!! Click to expand... Watu 8 wetu"!" Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
watu8 said: Kwa kuwa mimi ni Mpare hizo 1 & 2 hazinihusu kabisaaaaa!!! Click to expand... Watu 8 wetu"!"
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 76,355 Reaction score 108,486 Jul 2, 2013 #10 Mzee said: Watu 8 wetu"!" Click to expand... Heheh mie thikopi wala thikopesheki... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,097 Jul 2, 2013 #12 Ma mama
Mzee JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,863 Jul 2, 2013 #13 watu8 said: Heheh mie thikopi wala thikopesheki... Click to expand... nikutonga na bajeti. Watu 8. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Himidini JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 5,534 Reaction score 4,190 Jul 2, 2013 #14 Lady doctor said: Na ninae mdai Click to expand... ^^ Aisee mamangu,,we nawe kumbe umeishi kwa M=Mungu O=Onyesha S=sasa H=hela I=iliko karibu tena Moshi asee ^^
Lady doctor said: Na ninae mdai Click to expand... ^^ Aisee mamangu,,we nawe kumbe umeishi kwa M=Mungu O=Onyesha S=sasa H=hela I=iliko karibu tena Moshi asee ^^
stevoh JF-Expert Member Joined Dec 5, 2011 Posts 2,921 Reaction score 1,106 Jul 2, 2013 #15 Atakayekua amepiga wa kwanza hapa tunatumia "FIFC" YAANI "FIRST IN FIRST CALL"
kichaamuerevu Member Joined Jun 28, 2013 Posts 24 Reaction score 3 Jul 4, 2013 Thread starter #16 yaap its ma ID
kichaamuerevu Member Joined Jun 28, 2013 Posts 24 Reaction score 3 Jul 4, 2013 Thread starter #17 stevoh said: Atakayekua amepiga wa kwanza hapa tunatumia "FIFC" YAANI "FIRST IN FIRST CALL" Click to expand... Mmmmmmh
stevoh said: Atakayekua amepiga wa kwanza hapa tunatumia "FIFC" YAANI "FIRST IN FIRST CALL" Click to expand... Mmmmmmh