Kimwakaleli
JF-Expert Member
- Apr 16, 2018
- 12,212
- 17,006
Sawa mkuu!Kuzaa na kujaza dunia
Kuwasomesha wajomba zangu na kuwalea na kunilea Mimi pia na binamu zangu kwa maadili mema,naishi na watu vizuri sana.Babu yako mnamkumbuka kwa lipi?
Sawa mkuuNikiwaacha watoto inatosha kukumbukwa
Bandari uliijenga wewe?!Au upo mpango na Bandari(Dubai)Bandari
SawaSiachi kitu
Umetisha mzuru,lazima Ukumbukwe!Watoto
Hapa nina miaka 35 tayari nina watoto 42 kwa mama 41 nikifa nikumbukwe kwa hili
Nani kasema wanaenda mbinguni!Ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo!Kutakua na faida gan kukumbukwa nikiwa mbingun
Alitoka kwa udongo amekua kiazi au muhogo?Nani kasema wanaenda mbinguni!Ulitoka kwa udongo utarudi kwa udongo!
Ntaacha watotoMaisha ni safari ndefu, wahenga walisema ni kweli! Mtu anazaliwa, analia, anasoma, anao/anaolewa na kupata watoto, mwisho wa siku anazeeka au hata akiwa kijana anakufa.
Sasa jamii na familia kwa ujumla itamkumbuka kwa lipi hasa ambalo wanaona ni pengo kwao? Mfano Nyerere, Nelson Mandela, Moringe sokoine, Samora Machel Abrahaman Babu, Bibi Titi Mohamed nk, wanakumbukwa kwa kujitoa kwao kupigania Uhuru wa Nchi zao, wewe je?
Hayo makaburi uyaonayo ni ya viazi au Mihogo?Tuanzie hapo Kwanza,inaelekea Bado uko chekechea!Alitoka kwa udongo amekua kiazi au muhogo?
Utaacha ili wafanyeje?;Ntaacha watoto