MimiJoel
Member
- Sep 22, 2017
- 42
- 46
Uswahilini kuna mambo mengi, nilichaniwa dirisha nikaibiwa simu zangu... Lakin kwa hili la leo sihami kamwee!!
Leo mida ya saa 4 usiku nikiwa narudi zangu magheton, nimekutana na ugomvi wa vijana wawil wakimshambulia kijana mwenzao mmoja, huku wakiwa wamezungukwa na vijana wengi wa kiume.. nilisimama nikatamani kujua chanzo cha ugomvi ule, na kujua kwann wengine hawaamuliii? Nilimsogelea kijana mmoja na kumuuliza huu ugomvi unatokana na nini? akanijibu huyo anayepigwa na hao vijana wawili ni mwanaume mwenye tabia za kike (SHOGA) ivoo anatutia aibu vijana wa mtaa huu.
Eneo hilo lilikuwa ni jirani na salon ya kike, pemben kukiwa na vijana wengi wa bodaboda. kumbe kijana huyo aliingia salon ya kike na kuomba ashonewe Wigi la kike ndipo vijana wale waliokuwa wamepark bodaboda zao njee wakamuona, wanadai tabia hiyo kitambo anayo na walimpania kitambo wamfundishe adabu kwa kumpa kichapo ili aweze kuiacha tabia hiyoo Chafuu..
Mdada aliyekuwa saloon, ambaye ndiye msusi na alikua akijiandaa kumshonea wigi mteja wake. Alitoka njee ili kumtetea mteja wake, Akasema mbona nyie WEZI na hakuna anayewapiga wala kuwakataza.. Jamaa mmoja akasema Uwizi ni professional yao lakin ushoga hata Biblia inakataza, na sheria za nchi pia haziruhusu ushoga..
Unaanzaje kuhama Mtaa kama huu, Uwizi ni moja ya Professional ya vijana wa mtaa wetu!! Ahahahahahahah..
Leo mida ya saa 4 usiku nikiwa narudi zangu magheton, nimekutana na ugomvi wa vijana wawil wakimshambulia kijana mwenzao mmoja, huku wakiwa wamezungukwa na vijana wengi wa kiume.. nilisimama nikatamani kujua chanzo cha ugomvi ule, na kujua kwann wengine hawaamuliii? Nilimsogelea kijana mmoja na kumuuliza huu ugomvi unatokana na nini? akanijibu huyo anayepigwa na hao vijana wawili ni mwanaume mwenye tabia za kike (SHOGA) ivoo anatutia aibu vijana wa mtaa huu.
Eneo hilo lilikuwa ni jirani na salon ya kike, pemben kukiwa na vijana wengi wa bodaboda. kumbe kijana huyo aliingia salon ya kike na kuomba ashonewe Wigi la kike ndipo vijana wale waliokuwa wamepark bodaboda zao njee wakamuona, wanadai tabia hiyo kitambo anayo na walimpania kitambo wamfundishe adabu kwa kumpa kichapo ili aweze kuiacha tabia hiyoo Chafuu..
Mdada aliyekuwa saloon, ambaye ndiye msusi na alikua akijiandaa kumshonea wigi mteja wake. Alitoka njee ili kumtetea mteja wake, Akasema mbona nyie WEZI na hakuna anayewapiga wala kuwakataza.. Jamaa mmoja akasema Uwizi ni professional yao lakin ushoga hata Biblia inakataza, na sheria za nchi pia haziruhusu ushoga..
Unaanzaje kuhama Mtaa kama huu, Uwizi ni moja ya Professional ya vijana wa mtaa wetu!! Ahahahahahahah..