yule aliyeimba kosa la marehemu verse ya kwanza mara mwisho nilimuona canteen ya ifm alienda kula na kicheche sijui alikiokota wapi!,yani dizaini ya mwajuma ndala ndefu,kilikuwa kinamuungurumia mpaka aibu nilikuwa naona mimi,nilikaa nao meza moja...wote walikuwa wamepauka mbaya....it happened once upon a time,back in 2007.