Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,712
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.
Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?
Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?