Uswahilini kuna vituko kwa kweli,Wanaume wenza ngujaman hii ni kweli . . . . . . . ??

Eiyer

JF-Expert Member
Apr 17, 2011
28,258
20,702
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.

Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?
 
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.

Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?

Story hizo ni kwa wanaoamini ushirikina. Science will never dictate these rubbish stories- i do not see any scientific connection except superstitious one
 
Sijasikia, ila ninachoweza kusema ni 'devil at his best'

Labda ni story za uswazi tu,lakini tujiulize,zimeanzaje?
Kama ni shetani basi ni hatari kuliko tunavyofikiri!
 
Story hizo ni kwa wanaoamini ushirikina. Science will never dictate these rubbish stories- i do not see any scientific connection except superstitious one

Hivi majibu yapo kwenye sayansi tu?
 
Mzee!,JF is the home of great thinkers hivyo weka vitu ambavyo vitakusaidia wewe binafsi au sisi sote kwa ujumla,usiweke vitu ilimradi kuonekana na wewe upo JF.Kaka maisha maisha hayaendi kwa kufatilia vitu visivyo kusaidi wewe au wenzako(sisi).Huo unaitwa udaku KAKA
 
Acha kushabikia vitendo vya kikurumbembe.
Huyo beberu atamani nini hadi akuingilie?
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.

Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?
 
Mzee!,JF is the home of great thinkers hivyo weka vitu ambavyo vitakusaidia wewe binafsi au sisi sote kwa ujumla,usiweke vitu ilimradi kuonekana na wewe upo JF.Kaka maisha maisha hayaendi kwa kufatilia vitu visivyo kusaidi wewe au wenzako(sisi).Huo unaitwa udaku KAKA

Hebu fikiri kama hii makitu ni kweli,unadhani haitasaidia?
Kama ni uongo unadhani bila kusema wazi ni wangapi wanapotoshwa na kujidhalilisha wakidhani wanapata tiba?
 
Acha kushabikia vitendo vya kikurumbembe.
Huyo beberu atamani nini hadi akuingilie?

Nani ameshabikia?Au huelewi?
Inaonekana umekurupuka,hebu soma thread upya halafu uje tena!
 
Mmmmmh hayo ya huko kwenu bhana...................!
Mie nijuavyo maombi tu Kwa Jina la YESU na ukiamini jogo anawika saa hiyo hiyo.......!
Watch matukio katika Emmanuel tv.................!
 
hii heading imeandikwa na mwanaume kweli? hiyo ni style ya kidada ya kuandika.
 
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.

Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?




Kuna uhusiano gani kati ya kuingiliwa na beberu na nguvu za kiume????Scientifically hakuna kitu kama hicho,ni tetesi tu za uswazi hizo.Duh!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi majibu yapo kwenye sayansi tu?

Kukosa nguvu za kiume maelezo yake yako kwenye science tu na si vinginevyo labda uwe unaamini ushirikina. Mfano rahisi, upofu wa macho maelezo yake yako kwenye science ya light in part na si kulogwa unless uwe unaamini katika ushirikina
 
Mmmmmh hayo ya huko kwenu bhana...................!
Mie nijuavyo maombi tu Kwa Jina la YESU na ukiamini jogo anawika saa hiyo hiyo.......!
Watch matukio katika Emmanuel tv.................!

Nikikuambia kuwa wale wanaigiza,would you believe me?
 
Eiyer ni wewe kweli au kuna mtu kaiba password yako na kuitumia hivi? Kuna uhusiano gani wa kisayansi kati ya beberu kumuingilia binadamu na kumponya na hali yake ya kutokuwa rijali?

Ndugu yangu haya ni masharti ya kipuuzi wanayoyatoa baadhi ya waganga wa kienyeji wanapowatibu watu. Saa nyingine ni vzr kutumia 'common sense' kukubali hoja na kufanya maamuzi sahihi, yaani akili ya kuambiwa unachanganya na ya kwako.

Fikiri mbuzi amfanyie shughuli jamaa huko nyuma kutakuwa salama? Si ndiyo atamchana kabisa na kumharibu zaidi? Na je miingiliano ya kimapenzi kati ya wanyama na binadamu madhara yake unayafahamu vzr? Tafakari!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmmh hayo ya huko kwenu bhana...................!
Mie nijuavyo maombi tu Kwa Jina la YESU na ukiamini jogo anawika saa hiyo hiyo.......!
Watch matukio katika Emmanuel tv.................!

duh...?!!!.
 
Nimetafakari sana wakati nataka kulileta jambo hili kwanu.Lakini nimeamua kulileta hapa kama lina ukweli basi wale watakaoona linafaa waamue..Pia linaweza kuonekana udhalilishaji au kituko kwa wale ambao hawajui au hawajasikia kituko hiki.

Ni kuwa inasemekana mwanaume ambae amezaliwa bila nguvu za kiume kama anahitaji kurudiwa au kupata tena nguvu hizo anatakiwa aingiliwe kimwili na mbuzi dume,yaani beberu.Sidhani kama hii inaweza kuwa kweli.Je kuna aliewahi kusikia hiki kituko?
sasa atawezaje kumwingilia mbuzi wakati hana nguvu za kiume?
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom