ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Baada ya Rais Kikwete "kulisuka" upya baraza la mawaziri, hakuna shaka kuwa kamati za Bunge zitalazimika kujisuka au kusukwa upya. Hii inasababishwa na ukweli kwamba wenyeviti wa kamati kadhaa za Bunge wamekuwa sehemu ya ukili uliotumika kusuka baraza la mawaziri.
Kwa vile kamati ya Bunge inawajibika kudadavua makosa yanayojitokeza ndani ya serikali, ni dhahiri kuwa Waziri au naibu wake wanasongwa na mgongano wa maslahi wanapokuwa wanaongoza kamati za Bunge na wakati huohuo wakiwajibika kuitetea Serikali.
Usiondoke, movie bado inaendelea...
Kwa vile kamati ya Bunge inawajibika kudadavua makosa yanayojitokeza ndani ya serikali, ni dhahiri kuwa Waziri au naibu wake wanasongwa na mgongano wa maslahi wanapokuwa wanaongoza kamati za Bunge na wakati huohuo wakiwajibika kuitetea Serikali.
Usiondoke, movie bado inaendelea...