sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,610
- 2,158
mz
Mzee hicho chuo tatizo linaanzia kwa serikali ya wanafunzi, haina makali ni kama pambo tu. Huyo aliyekuja na ayo matangazo namfahamu ni kajamaa ka MUSO hapo alipo anatetea ugali wake. Hawana kazi nzi hawatusaidiane kufikisha ujumbe kwa wahusika wakuu kama inawezekana hali ni mbaya