SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,244
- 4,258
Habari zenu wanasayansi wa jukwaa hili.
Natumia modem ya Voda Broadband, na baada ya kwisha kwa kifurushi nilichokuwa natumia, nikataka kununua kingine.
Kifurushi nilichohitaji ni namba 4 kwenye menu yao ambayo ni MB150. Nikanunua na ikaja mesj inayosema 'Unable to Provision Subscriber with Service. Please contact customer care'
Nilijaribu tena na tena na mambo yakawa hivyo hivyo......."Unable to......"
Customer care nikajaribu kuingia. Ni yaleyale..... bonyeza 1, 2, 3 nk. Hakuna msaada.
Sasa, wanaTech wa hapa JF, mmeshakutana na hii kadhia? Nifanyeje?
Asanteni.
Natumia modem ya Voda Broadband, na baada ya kwisha kwa kifurushi nilichokuwa natumia, nikataka kununua kingine.
Kifurushi nilichohitaji ni namba 4 kwenye menu yao ambayo ni MB150. Nikanunua na ikaja mesj inayosema 'Unable to Provision Subscriber with Service. Please contact customer care'
Nilijaribu tena na tena na mambo yakawa hivyo hivyo......."Unable to......"
Customer care nikajaribu kuingia. Ni yaleyale..... bonyeza 1, 2, 3 nk. Hakuna msaada.
Sasa, wanaTech wa hapa JF, mmeshakutana na hii kadhia? Nifanyeje?
Asanteni.