Hivi nani huwa anatunga haya maneno, nijuavyo mimi lugha huwa haitungwi inatokea naturally, basi mwenzenu nilpoona neno usuli kwenye headline nikategemea kukutana na picha ya ajabu, neno hili linashabihiana sana na msuli, sasa linakuwa kama kisifa fulani hivi. e.g JAMAA NA USULI HUYO!!!