Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13

Status
Not open for further replies.

sky walker

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2018
Posts
1,160
Reaction score
834
Ustadh amlawiti mtoto wa miaka 13 msikitini ndani ya Ramadhani.

Ustadh huyo ambae aliyefahamika kwa jina la Abdulkadir Rajab Miraj mwenye umri wa miaka 30 mkaazi wa Kisauni Unguja. Anadaiwa kumlawiti mtoto wa miaka 13 ndani ya msikiti wa Kwajecha huko maeneo ya Nyamanzi Unguja.

Sheha wa shehia ya Nyamanzi Issa Abdallah Ali amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na amesema mtuhumiwa huyo kwa sasa yupo kituo cha Polisi Fumba.

chanzo:
Breaking News Kiswahili
 
Msikitini """? Hah hahaha Mimi na ubazazi wangu wote lakini siwezi kufanya hiyo "" duuuh"...halafu waweza kuta Jamaa alikuwa amefunga ""....Binaadamu tuna msingizia Mungu Mambo Mengi Mnooo""....Sijui kwanini MuNgu aliamua kutoonekana"",......
 
Msikitini """? Hah hahaha Mimi na ubazazi wangu wote lakini siwezi kufanya hiyo "" duuuh"...halafu waweza kuta Jamaa alikuwa amefunga ""....Binaadamu tuna msingizia Mungu Mambo Mengi Mnooo""....Sijui kwanini MuNgu aliamua kutoonekana"",......
Anaonekana nmemwona juzi !! Trust me
 
Ostaz hayuko sawa akapimwe akili kabla ya hukumu!
 
Mbona hao mashekh wanapenda sana kulawiti angali wana wake wengi tu, hadi wanne..?
Wanawafundisha nini watoto huko madrasa...
Wanaona kula kitimoto ndio haramu na kosa kubwa zaidi tu!
 
Hii kali ,si angeenda kwenye madangulo huko akafanya ufirauni wake mpak aridhike!!!?
 
Nadhani Kuna njama za kuwachafua Masheikh na maustaadh kwa bifu za Kugombania wadhfa....kama ni anasingiziwa basi Allah(s.w) atasimama naye but kama ni ukweli basi Adhabu dhidi yake iwe moto wa milele ustawiao kwa mawe na kuni za nyika...Allah-waqil
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom