Ustaarabu wa Magufuli vs wa Slaa!

Ustaarabu wa Magufuli vs wa Slaa!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,837
Linganisha Ustaarabu kati ya hawa Viongozi wawili Bw.Magufuli vs Bw.Slaa wakiwa kwenye gari wakati Bw.Slaa akionekana amekanyaga kwenye kiti cha kukalia ndani ya gari Bw.Magufuli anaonekana akiwa amesimamia pembeni yaani hajakanyaga kiti!




10.jpg



View attachment 270308
 
Na wasiwasi wewe si mzima,tuonyeshe hyo miguu ilivyokanyaga kiti kwenye gari la Dr,Slaa
 
Mtoa mada hakika unavituko u nafuatilia hadi hayo haya bwana. ..
 
Hahahaha hahahaha ndio maana tukaumbwa tofauti. ..
 
Linganisha Ustaarabu kati ya hawa Viongozi wawili Bw.Magufuli vs Bw.Slaa wakiwa kwenye gari wakati Bw.Slaa akionekana amekanyaga kwenye kiti cha kukalia ndani ya gari Bw.Magufuli anaonekana akiwa amesimamia pembeni yaani hajakanyaga kiti!




10.jpg



View attachment 270308


Huu mtindo umepitwa na wakati. Kuna umuhimu gani kwa hawa viongozi kutembea hivyo? Maana yake ni nini hasa au ndio wanatafuta vifo? Kama kweli tunataka viongozi wetu watufanyie kazi ya kukuza maendeleo ya nchi hii huu upuuzi usiendelee. We need to stop this nonsense now before its too late.
 
Hiyo picha ya Slaa hao walinzi wake wanafanana na Mafia Mob (La Costa Nostra) guards.Wana ishara ya shari.Kwanza mavazi yenyewe siyo anayovaa bodyguard,pili katika nchi ya kitropic yenye joto na jua kali namna hii mavazi haya yanawatia karaha.Hii ni dalili ya kutokujiamini.Sasa wakijaaliwa kushika mamlaka itakuwaje?Pili,tuangalie mikutano yao ya hadhara ya CHADEMA: Asilimia kubwa ya viongozi wanatumia nguvu nyingi sana kuzungumza.Calories zinapotea sana hata kwa jambo la kawaida tu...hii nayo ni ishara mbaya katika uongozi.Kiongozi anatoka jasho jingi jukwaani(rafiki yangu Mbowe).naomba wajaribu kuwa wazungumzaji wa wastani watasikiwa tu...message zitafika.
 
yani akimaliza kuongea sharti ale ugali kilo tano na maharage kilo 2
 
Back
Top Bottom