Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,193
- 3,011
Mara nyingi MaxShimba baada ya kuona akishindwa hoja na waislam kwanye jukwaa la dini hukimbilia kukashifu/kutukana waislam na Mtume, akijua wazi kuwa waislam tunawatukuza Mitume(A.S) wote wa Allah akiwemo Issa(A.S) ama Yesu kama ilivyo maarufu. na huwezi kusikia Muislam akitoa kauli isiyofaa kwa mtume wa haki yeyote yule. sasa yeye hujuona mshindi pale anapokashifu bila kupata kurejeshewa kashfa hiyo kwa mtume wake. Waislam tunaamini kwamba Yesu ama Issa(A.S) amekuja na Injili na ametimiliza kazi yake na baada ya kuondoka kwake kumetokea mafundisha ambayo ni ya nyonyeza na mengine ni tofauti kabisa na alichokifunza, hivyo ni wajibu wetu kuuelezea umma bila kashfa tena kwa hikma hayo yaliyotokea, hili haliwapendezi akina Maxshimba matokeo yake hutumia nafasi waipatayo kukashifu ama muchafua taswira ya Uislam.
Hysteria & Irrelevant apologia..
Ktk hii thread ni wapi ametajwa mtume au 'mtume' yeyote? Hizi habari za wasilamu Aaa... wasilamu Eee.. zinaingiaje hapa wajameni?