Uspika na rangi halisi ya Dr Tulia Ackson

Uspika na rangi halisi ya Dr Tulia Ackson

Haaaa..Haaaa sijaandikaa spika ni Nani ila nimemzunguzia Dr tulia Ackson...umenipata Eheeeee.....!!

Kwa upande wangu naona huu muhimili wa judicially hauko huru kuna wanachama wa vyama vya siasa,angalia Chenge,Augustine Ramadhan,Leo Tulia,sasa muhimili huu utakuwaje huru kkama watu wanafanya kazi wakiwa na kadi za vyama
 
Lowassa inasemekana anampigia debe Ndugai kwani alikuwa kwenye kambi yake wakati wa uchaguzi wa ndani wa CCM

Kwahiyo unataka kutuambia bado yupo kambi yake na anamkubali??
 
Sijasoma ulicho kiandika hapa. Lakini kwa ufupi ni kwamba spika wa bunge la 11 ni Job Ndungai.

Ameandika pamba tupu lkn Ndugai hafai. Sifa za kugombea uspika ni ama awe mbunge ama mwenye sifa za kugombea ubunge. Wanaompinga Tulia wana nia mbaya. Ni mabaki ya ka
sumba na vijembe vya Bunge lililopita. We need fresh air for a change from state house to the parliament. Tunataka mabadiliko fuLl stop.
 
Hivi mkiweka mada zenu bila kumtaja Lowassa hazinogi?Umuhimu wa Elimu ndio huosasa. Nimetambua hata ile mita mia moja ilikuwa nikiushabiki wa fisiem maana huyo Tulia angekuwa siyo kada anggombea uspika yeye kama yeye, lakini kwenda ccm lazma kuna ulakini ndani yake. AMA KWELI MUNGU HAMFICHI MNAFIKI. HATIMAE MWANASHERIA AUMBUKA
 
Lowassa inasemekana anampigia debe Ndugai kwani alikuwa kwenye kambi yake wakati wa uchaguzi wa ndani wa CCM

Orait, kumbe inasemekana tu!!

Wow i thought wewe ni mke wake na una uhakika kabisa kuhusu hilo

Thanks
 
Kuna watu humu bila kutaja jina la Lowassa hawajiskii vizuri! Acheni umbea nyie watu..!!
 
Ingawa Dr Tulia hazungumziwi sana kwenye mtanange huu wa uspika lakini ni ngumu sana kwa mwanamama huyu kutenda haki kwa wapinzani.
This is basing on the fact siku zote yeye kwa nature ya kazi yake kama AG msaidizi ni kuipigania serikali kisheria hasa kwenye mashauri mbalimbali ya kimahakama.
All in all hata kama akichaguliwa ni ngumu kuwaburuza watu kama kina Lissu and his group.
Mtazamo wangu spika atashinda Ndugai.

Tatizo kubwa litakaloendelea kuitafuna demokrasia nchi hii ni ukweli kwamba idadi kubwa ya watumishi wa umma na hasa wenye nyadhifa kubwa katika ngazi ya maamuzi kuwa ni makada wakubwa wa CCM. Tumejionea kesi ya mita 100 ilivyoendeshwa na kuamuliwa kimizengwe na ikacheleweshwa kutolewa hukumu hadi siku ya ijumaa ili isipatikane nafasi ya kukata rufaa. Tunajionea sasa baada ya kazi nzuri aliyoifanyia CCM, sasa CCM inataka kumzawadia Dr Tulia nafasi kubwa ya uspika wa Bunge. Bila kupata katiba mpya kuyaondoa haya ni vigumu kwa upinzani kuja kushika dola.
 
Ingawa Dr Tulia hazungumziwi sana kwenye mtanange huu wa uspika lakini ni ngumu sana kwa mwanamama huyu kutenda haki kwa wapinzani.
This is basing on the fact siku zote yeye kwa nature ya kazi yake kama AG msaidizi ni kuipigania serikali kisheria hasa kwenye mashauri mbalimbali ya kimahakama.
All in all hata kama akichaguliwa ni ngumu kuwaburuza watu kama kina Lissu and his group.
Mtazamo wangu spika atashinda Ndugai.

Dr Tulia ni Mwanasheria na bunge lina kanuni. Kwa hiyo atashirikiana sana na akina Tundu Lissu katika kusimamia haki. Hatutaki spika wa kutetea serikali kama wale waliopita. Mfano mzuri ni wa Rais Magufuli anayesisitiza kila mara kuwa yeye si rais wa ccm bali ni wa watanzania wote. Ukawa acheni hofu awamu hii ni KAZI TU na CCM ndiyo watakaoumia zaidi kutokana na mazoea ya kupendelewa.
 
kwa hiyo kwenu nyie vichwa maji, kumchukia Lowasa ndiyo sifa pekee ya kuwa spika?
 
Unamjua Msukuma? Alikuwa kwenye kambi ya nani? Unajua Msukuma na Lowassa wana uhusiano gani sasa hivi? Acheni kukariri mambo.

Lowassa ni kama mfu anayesubiri kutangaziwa tarehe ya kuzikwa tu. Hana jipya lolote zaidi ya kujinyea tu.

Hizi ni dalili tosha huna wazazi, kama ulitupwa jalalani walaumu wazazi wako na si kudhalilisha wazazi wa wengine
 
Tatizo kubwa litakaloendelea kuitafuna demokrasia nchi hii ni ukweli kwamba idadi kubwa ya watumishi wa umma na hasa wenye nyadhifa kubwa katika ngazi ya maamuzi kuwa ni makada wakubwa wa CCM. Tumejionea kesi ya mita 100 ilivyoendeshwa na kuamuliwa kimizengwe na ikacheleweshwa kutolewa hukumu hadi siku ya ijumaa ili isipatikane nafasi ya kukata rufaa. Tunajionea sasa baada ya kazi nzuri aliyoifanyia CCM, sasa CCM inataka kumzawadia Dr Tulia nafasi kubwa ya uspika wa Bunge. Bila kupata katiba mpya kuyaondoa haya ni vigumu kwa upinzani kuja kushika dola.

Tutaipataje hiyo katiba mpya kwa wingi wa maccm bungeni?
 
Ni vizuri mkiendelea kushupaza shingo.
Laiti mgejua ile likizo ya Ndugai wakati wa escrow mgelikuwa tofauti.
Ila naamini CCM watampitisha Dr.Tulia na sio Ndugai .
 
Mnaojadili maada hii uwasilishwajii Wa maada upo kwny mtazamo Wa kimahakama na kiselikali kwamba vyombo hivii kwamba et vipo huru na maamuzi yake hayaegemei upande wowote wavyama/kisiasa hasa kupitia watumishi, idara ake haswa vinapotekeleza majukumu yao.... Jee kupitia huyu Dr mwanasheria mshakama/kuu na N. Mwanasheria mkuu tulia KADA WA CCM AMBAE AMEGOMBEA USPIKA KUPITIA CCM JEE HIVII VYOMBO KWELI VIPO HURU AU NI KIINI MACHOOO... H
 
Mchakato wa kumtafuta kada Wa CCM pale jikoni bungeni yamefikia patamu ambayo imemuleta Dr Tulia Ackson Mwansasu
1.Je! Dr Tulia Amejiuzulu nafasi na nyazifa zake...??
Wanajamvi nawasisha maoni, mawazo, mitazamo yangu....
Mkuu Kayanda mtebwe, maswali haya yalikuwa ya msingi sana!.
Tena hata sasa, alipaswa kwanza kujiuzulu un naibu spika ndipo aombe uspika!.
P
 
Back
Top Bottom